Droo ya UEFA Champions Ligi; R.Madrid Vs Juventus, Liverpool apewa Man. City! UEFA Europa Ligi; Arsenal Vs CSKA Moskva..

Tuache history mechi ya mwisho si tuliwapiga 4 hawa au sio wao
Malizia basi mliwapiga 4-3.

Nakuambia tena Liverpool hana ubavu wa kumtoa city robo fainal.

Kama ni Mtoto, Liverpool ya Sasa bado ni mtoto aliye na masalia ya maziwa-maziwa ya mama.
 
Kwa Juve?? PSG is better than Juve. Hapa kwa mimi naona Real kapata mteremko.
Mechi ngumu ni 'EPL'.
unajua kisasi kwenye mpira kinazingatiwa sana, na fainali ni mech moja tena ugenin
 
kila wakipangiwa wahispania wanakula vipgo,leo wamewapanga waingereza kwa waingereza tena malalamiko

SIO kupangiwa km ujanza juzi kuangalia UEFA utakuwa unajua toka misimu ya zamani timu za England zilikuwa zinatoboa hadi 16 bora au robo zikiwa 3 au 4 uefa lazima wawapange zenywe kwa zenyewe kuzipunguza
 
Aise utabiri wetu kwishne, wamewaua waingereza, sijapenda kabisa
 
Makosa hayajirudii kivipi mkuu..?
Katika mechi zote mbili tulizokutana nao, kulijitokeza makosa mengi tu.
Mchezo wa kwanza tulipotea kuanzia beki mpaka viungo.
Mchezo wa pili tulikuwa sawa kwenye beki hadi kiungo kabla ya mabadiliko ya kocha kutokea.
 
Wamewaua waingereza, sijapenda kabisa, ubashiri wangu kwishne
 
Safari ya waingereza (ndg zetu wa damu kabisa hawa)
Group stage 5 Teams EXCELLENT
last 16 5 Teams EXCELLENT
quarter Final 2 Teams NOT BAD
Semi final. 1 Team Poor
final??????????
 
Man city Vs Liverpool Hatar Apo Naona mwisho WA city
 
awa wazee chielin na buffon naona mwisho wao mapeeema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…