Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Mkeka wangu umeenda Sawa kiainaRoma vs Madrid
Bayern vs sevila
Barcelona vs juventus
Man city vs Liverpool
Una stress wewe, Madrid hii iliyomtoa PSG ndo unayoibeza? Wakat hao Tot walibahatisha tu ndo maana hawapo sasa hivi.Hapana Real na Sevilla wa kawaida sana, Huyo Real si alipigwa 3 na Spurs au sio wao.
Alisina, unitafute baada ya tarehe 4 April maana knockout ni kujipanga tu na sisi kazi hiyo tuko vizuri. Mimi najiamini tu ile 5-4 sijui 3-2 muhimu tunapita.Malizia basi mliwapiga 4-3.
Nakuambia tena Liverpool hana ubavu wa kumtoa city robo fainal.
Kama ni Mtoto, Liverpool ya Sasa bado ni mtoto aliye na masalia ya maziwa-maziwa ya mama.
Hawa watakutana finally na Manchester City atakuwa bigwa ChampionSina la kuongeza mkuu, mie pia nataka kuona man city akipata kipimo cha barca
Mkifungwa nyinyi ndio kubahatisha? si walicheza mechi 2 na nyinyi hiyo pia ni bahati. basi mkuu wengine bahati tu nyinyi hapana.Una stress wewe, Madrid hii iliyomtoa PSG ndo unayoibeza? Wakat hao Tot walibahatisha tu ndo maana hawapo sasa hivi.
Okay!!! Heijah.Alisina, unitafute baada ya tarehe 4 April maana knockout ni kujipanga tu na sisi kazi hiyo tuko vizuri. Mimi najiamini tu ile 5-4 sijui 3-2 muhimu tunapita.
Mimi sikupenda irudi Spain,lakini dalili ya mvua ni mawingu.ndoo inarudi tena spain,
Updates zaidi BossEric Abidal ndio Balozi wa Europa League Final mwaka huu tayari ameshafika jukwaani
duuh nomaAtletico de Madrid vs arsenal uefa europa league
Umeona mkuuTukutane saa nane