johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela πOyster Bay ya enzi zetu fence ni za michongoma tu hakuna mageti wala nini lakini utulivu na usalama wa kutosha.
Yule mdogo wake Kikwete mwembamba hivi nimemsahau Jina alikataa kukwaa ushuani tukawa tunakaa nae Magomeni..hivi bado yupoNakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela π
Siku hizi watu wamejizungushia kuta utafikiri wako segerea.Nakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela π
Mambo yote ni Mbweni.Zamani kabla ya Masaki kule Oysterbay kulikuwa Ndio Uzunguni na kulikuwa na Utulivu uliotukuka
Leo hii Dar es salaam yote inafanana na Sinza ile ya Shekilango road yaani kutoka Legho hadi Bamaga
Au Kigamboni kwa akina Mwijaku Ndio Uzunguni ya DAR? πππ
Washua siku hizi wanaishi Bandari ya Mbweni
Nani aliyefananisha Dogo? πΌUsifananishe Mbweni na Oysterbay au Masaki unajitia aibu
Wassira kimjini ni Mzee wa Msasani Namanga ukipenda Makangira ππMambo yote ni Mbweni.
Ngoja kesho niende nimcheki jirani yangu Wassira.
Zamani kabla ya Masaki kule Oysterbay kulikuwa Ndio Uzunguni na kulikuwa na Utulivu uliotukuka
Leo hii Dar es salaam yote inafanana na Sinza ile ya Shekilango road yaani kutoka Legho hadi Bamaga
Au Kigamboni kwa akina Mwijaku Ndio Uzunguni ya DAR? πππ
Washua siku hizi wanaishi Bandari ya Mbweni
Ukipita chocho, unatokea Kontena kwa Ras.Nakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela π
Na mbweni kuna Fundi Maiko bar na fremu kama zote π π π π πZamani kabla ya Masaki kule Oysterbay kulikuwa Ndio Uzunguni na kulikuwa na Utulivu uliotukuka
Leo hii Dar es salaam yote inafanana na Sinza ile ya Shekilango road yaani kutoka Legho hadi Bamaga
Au Kigamboni kwa akina Mwijaku Ndio Uzunguni ya DAR? πππ
Washua siku hizi wanaishi Bandari ya Mbweni