mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Lugalo jeshini kwenye wamezungusha maframeeee 😄Mafremu mengi yamekuwa kama magofu tu. Yaani wabongo sijui nani kawaloga. Mtu akishakuwa na nyumba yake inatazama barabara ya mtaa, basi anaweka mafremu mbele ya nyumba.
Ova