Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kipindi hicho unakatiza kutembelea mashamba boi wenzako mliotokea pamoja Wanging'ombe kwenda kulima na kufyeka bustani za madon wa Daslam.Nakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela π
Mbweni baadhi ya maeneo unyama sema hatua mia mbele unakuta genge.Na mbweni kuna Fundi Maiko bar na fremu kama zote π π π π π
Tunaishi naye Mbweni sasa.Wassira kimjini ni Mzee wa Msasani Namanga ukipenda Makangira ππ
Miaka ile unapita obay unasikia milio ya ngombe,ndege,mbwa tuOyster Bay ya enzi zetu fence ni za michongoma tu hakuna mageti wala nini lakini utulivu na usalama wa kutosha.
Sasa mtu ametoka nyangulukulu unampa apange jiji.mipango miji kwetu ni kipengele, hv hakuna sheria inayokataza hayo mambo? obey ya leo had mama ntilie wapo.
Mzee mnaishi naye vipi?Tunaishi naye Mbweni sasa.
Siku hizi watu wamejizungushia kuta utafikiri wako segerea.
Hapo Chadema ni mrangi pekee anayeelewa maana alikuwa na Jiwe lake la kukalia pale Drive InnKipindi hicho unakatiza kutembelea mashamba boi wenzako mliotokea pamoja Wanging'ombe kwenda kulima na kufyeka bustani za madon wa Daslam.
Halafu unaonekana ulikuwa unajiibia sana kusikiliza mazungumzo ya maboss zako ndio maana umekariri majina ya wazee wa zamani.
Dar kumejaa mafrem huwa najiuliza wanafanya biahara gani humo!?Uchumi wa fremu, tunaishi Ili tusurvive.
Tulia bwashee endelea kupata kangara hapo mwambie mama muuza nakuja kulipia.Hapo Chadema ni mrangi pekee anayeelewa maana alikuwa na Jiwe lake la kukalia pale Drive Inn
Nyie wengine mlioletwa na Mbowe kuja kuchoma Nyama Bills DAR ya Kale mtaijulia Wapi? πππ
Dah....! We wa kitambo, those were good old days.Nakumbuka pale Regent/ Ursino kwa Kikwete Zamani aliishi Mzee Msekwa na Mzee Mwanambilimbi kulikuwa hakunaga fensi yaani unakatisha tu hadi unaibukia kwa Mzee Kasesela π
Miraji au πYule mdogo wake Kikwete mwembamba hivi nimemsahau Jina alikataa kukwaa ushuani tukawa tunakaa nae Magomeni..hivi bado yupo
Au sio! Sawa blazaUtoto peleka kwa kids Wenzako maana Hata kejeli zako zimejaa Ushamba
Jifunze kwa Genta Matusi na kejeli za kiJf ππ
Umesahahu, na vibanda vya mama lishe pia vipo. Niliwahi kula ugali makange ya kuku kule Masaki.Zamani kabla ya Masaki kule Oysterbay kulikuwa Ndio Uzunguni na kulikuwa na Utulivu uliotukuka
Leo hii Dar es salaam yote inafanana na Sinza ile ya Shekilango road yaani kutoka Legho hadi Bamaga
Au Kigamboni kwa akina Mwijaku Ndio Uzunguni ya DAR? πππ
Washua siku hizi wanaishi Bandari ya Mbweni
Mafremu mengi yamekuwa kama magofu tu. Yaani wabongo sijui nani kawaloga. Mtu akishakuwa na nyumba yake inatazama barabara ya mtaa, basi anaweka mafremu mbele ya nyumba.Dar kumejaa mafrem huwa najiuliza wanafanya biahara gani humo!?
Vipo vingi tu mkuu, yaani ni tafarani.Umesahahu, na vibanda vya mama lishe pia vipo. Niliwahi kula ugali makange ya kuku kule Masaki.
Kabisa aiseUsifananishe Mbweni na Oysterbay au Masaki unajitia aibu
Mzee mbowe tena alikuwa na visa sana naye ubabeHapo Chadema ni mrangi pekee anayeelewa maana alikuwa na Jiwe lake la kukalia pale Drive Inn
Nyie wengine mlioletwa na Mbowe kuja kuchoma Nyama Bills DAR ya Kale mtaijulia Wapi? πππ