DSM kwa sasa inahitaji treni na sio mwendokasi

DSM kwa sasa inahitaji treni na sio mwendokasi

Mr. Tutor

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
853
Reaction score
2,595
Jiji la Dar es salaam limeshapita level ya mabasi ya mwendokasi kutokana na idadi ya watu kuwa kubwa hasa pembezoni mwa mji.

Kwa sasa jiji la DSM linahitaji treni ili kuendana na kasi ya kuongezeka kwa idadi ya watu. Walau ruti nne za treni zinahitajika.

1. Gerezani- Tegeta-Bagamoyo
2. Gerezani-Mbezi-Kibaha
3. Gerezani-Mbagala-Kongowe
4. Gerezani-Pugu-Kisarawe

Utafiti wangu mdogo ni kuwa Mwendokasi Mbezi haijapunguza hata kidogo tatizo la usafiri kwa abiria. Watu wanajaa kupita kiasi na foleni ya abiria pale Mbezi kama huna uvumilivu unaweza kuondoka bila kupanda basi. Watu 200 wamesimama kwenye foleni wanasubiri basi ambalo bado halijafika na likifika linachukua watu 80-90 wengine mnaendelea na msoto.

Watu wa mipango jiji la DSM limewazidi akili kila mnachopanga inaonekana kama kimepitwa na wakati. Tuachane na mwendokasi twendeni kwenye treni. Jiji la DSM linakimbia wakati watu wa mipango wanatambaa.

Ahsante!
 
Jiji la Dar es salaam limeshapita level ya mabasi ya mwendokasi kutokana na idadi ya watu kuwa kubwa hasa pembezoni mwa mji. Kwa sasa jiji la DSM linahita treni ili kuendana na kasi ya kuongezeka kwa idadi ya watu. Walau ruti nne za treni zinahitajika
1. Gerezani- Tegeta-Bagamoyo
2. Gerezani-Mbezi-Kibaha
3. Gerezani-Mbagala-Kongowe
4. Gerezani-Pugu-Kisarawe
Utafiti wangu mdogo ni kuwa Mwendokasi Mbezi haijapunguza hata kidogo tatizo la usafiri kwa abiria. Watu wanajaa kupita kiasi na foleni ya abiria pale Mbezi kama huna uvumilivu unaweza kuondoka bila kupanda basi. Watu 200 wamesimama kwenye foleni wanasubiri basi ambalo bado halijafika na likifika linachukua watu 80-90 wengine mnaendelea na msoto. Watu wa mipango jiji la DSM limewazidi akili kila mnachopanga inaonekana kama kimepitwa na wakati. Tuachane na mwendokasi twendeni kwenye treni. Jiji la DSM linakimbia wakati watu wa mipango wanatambaa.
Ahsante!
PHD
 
Jiji la Dar es salaam limeshapita level ya mabasi ya mwendokasi kutokana na idadi ya watu kuwa kubwa hasa pembezoni mwa mji. Kwa sasa jiji la DSM linahita treni ili kuendana na kasi ya kuongezeka kwa idadi ya watu. Walau ruti nne za treni zinahitajika
1. Gerezani- Tegeta-Bagamoyo
2. Gerezani-Mbezi-Kibaha
3. Gerezani-Mbagala-Kongowe
4. Gerezani-Pugu-Kisarawe
Utafiti wangu mdogo ni kuwa Mwendokasi Mbezi haijapunguza hata kidogo tatizo la usafiri kwa abiria. Watu wanajaa kupita kiasi na foleni ya abiria pale Mbezi kama huna uvumilivu unaweza kuondoka bila kupanda basi. Watu 200 wamesimama kwenye foleni wanasubiri basi ambalo bado halijafika na likifika linachukua watu 80-90 wengine mnaendelea na msoto. Watu wa mipango jiji la DSM limewazidi akili kila mnachopanga inaonekana kama kimepitwa na wakati. Tuachane na mwendokasi twendeni kwenye treni. Jiji la DSM linakimbia wakati watu wa mipango wanatambaa.
Ahsante!
Wazo zuri sana
 
Kwanini sio vyote ? Hata kwenye toolbox ndio maana hatuna nyundo pekee hata patasi nayo inahitajika
 
Nakazia 📌
Mji kama Duesseldorf, Germany una watu 650k tu ila kuna trams,
Dar yenye watu zaidi ya 7m bado raia wanategemea mabasi yasiyo na ufanisi ya daladala na mwendokasi, huo ni utani na kukosa maarifa
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.

Hakuna mipangilio ya miji wala vijiji tangu mkoloni aondoke nchi hii, Watu wanaishi na kujenga hovyo hovyo tu bila mpangilio wowote ule.

Jiji la Dar es salaam ni SLUM. Watu wamekaa na wanaishi varuvaru tu kama mapanya yaliyotoka kuzaliana.
 
huyu jamaa mna mpinga lakini kaongea ukweli na akili nyingi sana,,,kwani TANDAHIMBA kuna foleni?

Rate ya watu wanaoenda Tandahimba na DSM ni sawa?

Huwezi shindana na influx ya watu hata siku moja. DSM is expected to be among the most populated cities in the world by 2050. Kwa mwendo huo itabidi ujenge treni kila mtaa kama inawezekana.

Ni either serikali ifanye jitihada za makusudi kufungua nchi watu watawanyike au iendelee kushindana na influx ya watu Dar waone kama watashinda.

The Top 10 Biggest Cities by Population in 2075 are expected to be:

  1. Kinshasa, Democratic Republic of Congo – 58,424,142
  2. Mumbai, India – 57,862,345
  3. Lagos, Nigeria – 57,195,075
  4. Delhi, India – 49,338,148
  5. Dhaka, Bangladesh – 46,218,971
  6. Kolkata, India – 45,088,111
  7. Karachi, Pakistan – 43,373,574
  8. Dar Es Salaam, United Republic of Tanzania – 37,484,980
  9. Cairo, Egypt – 32,999,203
  10. Manila, Philippines – 32,748,758
 
Fungua nchi watu watawanyike. TZ sio DSM tu. Hata treni ziende kila kona kama influx ya watu itaendelea miundombinu itazidiwa tu.
Hii ndio solution,hata ikiwekwa hiyo Treni,huko mbeleni yatakuja malalamiko pia,treni hazitoshi coz watu ni wengi na treni haikidhi mahitaji ya wasafiri.
 
Rate ya watu wanaoenda Tandahimba na DSM ni sawa?

Huwezi shindana na influx ya watu hata siku moja. DSM is expected to be among the most populated cities in the world by 2050. Kwa mwendo huo itabidi ujenge treni kila mtaa kama inawezekana.

Ni either serikali ifanye jitihada za makusudi kufungua nchi watu watawanyike au iendelee kushindana na influx ya watu Dar waone kama watashinda.

The Top 10 Biggest Cities by Population in 2075 are expected to be:

  1. Kinshasa, Democratic Republic of Congo – 58,424,142
  2. Mumbai, India – 57,862,345
  3. Lagos, Nigeria – 57,195,075
  4. Delhi, India – 49,338,148
  5. Dhaka, Bangladesh – 46,218,971
  6. Kolkata, India – 45,088,111
  7. Karachi, Pakistan – 43,373,574
  8. Dar Es Salaam, United Republic of Tanzania – 37,484,980
  9. Cairo, Egypt – 32,999,203
  10. Manila, Philippines – 32,748,758
nasisitiza jamaa kaongea PHD!!! mawazo yako wewe ndio mgando,,,pesa za kujenga RELI nchi nzima kwa wakati mmoja zitapatika wapi????........2naanza na dar sababu ni highly populated in Tanazania ukilinganisha na miji mingine,ina viwanda vingi,bandar,na taasisi nyingi ziko hapa,,,,,,
 
nasisitiza jamaa kaongea PHD!!! mawazo yako wewe ndio mgando,,,pesa za kujenga RELI nchi nzima kwa wakati mmoja zitapatika wapi????........2naanza na dar sababu ni highly populated in Tanazania ukilinganisha na miji mingine,ina viwanda vingi,bandar,na taasisi nyingi ziko hapa,,,,,,

Ni wapi nimesema wajenge reli nchi nzima? You lack comprehension skills it seems.

Nimesema serikali ifanye jitihada za makusudi kutawanya watu na shughuli zao nchi nzima. TZ sio Dar tu. Huwezi kushindana na influx ya watu

Dar is expected kufika 37M population by 2050, miundombinu gani mtawekeza isizidiwe na hiyo idadi? Utajenga reli ngapi kubeba watu? Utajenga reli kila mtaa? Vp miundombinu mingine au Unadhani miundombinu ni usafiri tu?

Ni either mjenge hizo reli kila mtaa au watu watawanyike nchi nzima kusiwe na msongamo Dar tu.
 
Ni wapi nimesema wajenge reli nchi nzima? You lack comprehension skills it seems.

Nimesema serikali ifanye jitihada za makusudi kutawanya watu na shughuli zao nchi nzima. TZ sio Dar tu. Huwezi kushindana na influx ya watu

Dar is expected kufika 37M population by 2050, miundombinu gani mtawekeza isizidiwe na hiyo idadi? Utajenga reli ngapi kubeba watu? Utajenga reli kila mtaa? Vp miundombinu mingine au Unadhani miundombinu ni usafiri tu?

Ni either mjenge hizo reli kila mtaa au watu watawanyike nchi nzima kusiwe na msongamo Dar tu.
Serikali iwatawanye?
Hawa watu ambao Kila mmoja anapambana ahamie dar?
 
Serikali iwatawanye?
Hawa watu ambao Kila mmoja anapambana ahamie dar?

Shughuli. Peleka shughuli za msingi zinazofanya watu kwenda Dar mikoa mingine. Mfano wizara kwenda Dodoma permanently.

Fufua bandari za Tanga na Lindi zifanye kazi kwa capacity kubwa msongamano utaanza kupungua Dar.

Wekeza kituo kingine cha biashara kuipa Kariakoo ushindani. Serikali inabidi ifanye uwekezaji kuvutia wafanyabiashara kuhamia huko lazima itoe incentives.

Hili limefanyika nchi nyingi sana duniani sio jambo geni. Either kwa kuhamisha capital city au kutawanya shughuli ndo maana nchi zingine unakuta zina majiji matatu au manne makubwa sio mji mmoja tu kama TZ na Dar.

In the USA, White House, bunge na supreme court zipo Washington DC. Biggest airport in Atlanta. Entertainment and tech in California. Stock exchange New York. CIA Virginia. The list goes on and on. Bongo kila kitu ni Dar. Huwezi shindana na influx ya watu.
 
Back
Top Bottom