DSTV ama yeyote, Naomba Kuelewesha Kuhusu Kuona Mpira kwa 23,000

DSTV ama yeyote, Naomba Kuelewesha Kuhusu Kuona Mpira kwa 23,000

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Safari hii DStv na msemo wao mpya wa “Hainaga Shobo Tunashangiliaga”, mbinu zao zinaonekana kuwa ni za dhati na mfano kabla ya kuanza kwa msimu wa 2016-17 ambao unaaminika kuwa, utakuwa mtamu zaidi ya mcharo, Multichoice Tanzania wametangaza hadi wale wanaolipia king’amuzi kidogo cha Sh 23,500 kwa mwezi nao wataona mechi live.

Saleh Jembe

Biashara huenda na mivuto ya aina nyingi, je kwa bei hii unaona mechi zote ama chache za akina nanihii? ama kuna tovuti maalum ama ni ile ya 211?

anayejua tafadhali anijuze na mie
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848

Tukuamini wewe tuache dstv? Ehe?
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
weka wazi hapa bei na mahar unapopatikana before kuwasiliana mtu awe anajua kabisawhere u are na unafanyaje kazi
 
Tatizo sio hilo ila tatizo ni pale wazee wakizifungia frequency zao,apo jombaa imekula kwako
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
duh nimekua naougopa sana huu mfumo
 
Mkuu vifaa na ufundi ni 380k baada ya hapo hulipii tena.Napatikana Dar kwa sasa.
asante sana kwa ufafanuzi huenda nikakutafuta, je channelmhizo tu ama kuna nyingine? WACHA WIKI HII IPITE MAANA TUKIONEA SANA BIL MSHIKO NI KAMA SOTRY TU
 
Bei ya 23,500 unapata SELECT ambayo inaonyesha mechi moja tu ambayo ni juamosi tu saa 11 jioni, so katika zile mechi kadhaa za saa 11 jioni jumamosi utaona moja live, siku zingine zote ni mswaki, kumbuka hili lipo tangia zamani
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
Ni HD?
 
Bei ya 23,500 unapata SELECT ambayo inaonyesha mechi moja tu ambayo ni juamosi tu saa 11 jioni, so katika zile mechi kadhaa za saa 11 jioni jumamosi utaona moja live, siku zingine zote ni mswaki, kumbuka hili lipo tangia zamani
Hata super sport 12, 7&5 nazo zipo
 
Back
Top Bottom