Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeamua ni rudi kwenye comentetor wa kiingereza hao waswahili wenzagu siwawezi kelele tupu stori kujifanya ni wachambuzi, mswahili ni mswahili siku zote hata umpeleke ulayaHuyu mtangazaji wenu anapayukapayuka na hata haieleweki anaongea nini. Kila wakati anapaza sauti na kuongea vitu visivyoeleweka wala kuhusiana na mechi iliyopo mubashara.
Wanafamilia walitamani kuangalia kwa kiswahili ila sasa wengine tunashindwa kuvumilia ule upayukaji usiokuwa na tija wala mwelekeo.Keep it 222 then..World cup central hapo dstv..hakuna kiswahili..huko kina Peter drury ndo commentetors
Hii ya kuwa nyuma ya muda wa tukio ndio inaharibu kabisa na kufanya yale matangazo yasiwe na umuhimu wowote.Kiukweli hawa watangazaji wa kiswahili wa DSTV wanaboa mnoo.
Mapungufu makubwa niliyoyaona.
1. Mtangazaji anakuwa nyuma ya tukio, sisi tunaona tukio kwanza (goli au kosa kosa) halafu mtangazaji ndio anaibuka kusema kwa makeke wakati tukio limepita kwa nusu sekunde. Hiyo kitu inaboa sana. Nadhani ni kwa sababu watangazaji hawako live uwanjani, wanafuatilia sambamba na sisi tunaoangalia kwa Tv, hivyo sauti zao zitachelewa kidogo.
Yaani ni fujo na kelele za ajabu na kujiongelesha mambo yasiyokuwa ya kitaaluma. Jamaa anapayuka kama kichaa.2. Hawako katika uhalisia kabisa, hususani huu utangazaji wa Maulid Kitenge (umejaa mbwembwe zisizo na maana) au ule kina Kibwana (wa Clouds Fm) ambao umejaa blah blah za kuiga uzungu, afadhali hata ule utangazaji wa option nyingine ya kiswahili (sijui jamaa wa RTD wale) ambao umekaa kiuhalisia kiasi.
Wale angalau ni watangazaji. Hata hawa wa ligi kuu ya NBC Azam wana ahueni sana.Binafsi mpaka sasa watangazaji wa kiswahili wa Azam Tv kwenye ligi ya ujerumani ndio nawaelewa vizuri. Wale jamaa nawaelewa sana.
Wapo watanzania wasiojua kiingereza. Huoni muvi za kutafsiri zinavyouzika na kukodiwa sana?Kwanin uskilze mpira Kwa lugha ya kiswahili kweli uache kuskia sauti ya peter dury unakazana na lugha ya kiswahili vitu vingine ni upuzi tu