ngunde11
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 693
- 906
Mimi niliongea nao kuwashauli kama kungelikuwa na special package ya channel 10_20, au mteja uchague channel 10_20 unazopenda kuangalia na kuwe na malipo yake tofauti, ila jamaa ni wabishi sana na sasa naangalia option nyingineshida ya dstv ni kulipia usichotazama.. wanaka ulipie chaneli 100/wakati unazama 6 tu nafikiri ni wakati wa kulipia channel unazotaka tu