Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HALAFU inaonyesha wewe BADO hujazijua vizuri channel ZA dstv. Ni BORA uKaPANDISHA kifurushi Chako AU ukakishusha. Uzoefu Wangu umenionyesha KUWA kifurushi CHA 25,000 hakina TOFAUTI kubwa NA HICHO CHA 37500. BORA upandishe kifurushi chako AU ushuke kwenye 25,000. KUNA NAMNA AMBAYO Unaweza KUINGIA kwenye website ya dstv na ukalinganisha vifurushi KUONA NI channel zipi ZIPO KWENYE kifurushi chako, AMbAZO HAZIPO KWENYE kifurushi kingineMimi kwangu wameziacha kabla ya christmas channel karibu zote zilikuwa zinaonyesha wakati kakifurushi kangu ni kale ka 37500
Wamepiga pesa sana hao acha wanyooshwe tuMtaani mchuano wa DStv na AzamTv ni Mkali sana.
DStv katika kuendana na kasi ya AzamTv ameamua kuachia ofa chaneli zote bure hata kama hujalipia kuanzia jana Desemba 27 mpaka kesho Desemba 29.
Siku za karibuni DStv amekuwa akipungukiwa na wateja hii ni baada ya AzamTv kuliteka soko la ndani kupitia NBC PL.
Pia ongezeko la streaming sites zimefanya kampuni ya DStv kuchuja na kukimbiwa na wateja wengi
Haya wale ambao hamjalipia DStv zenu washeni dikoda mtiririke kwa hizi siku mbili za ofa.
View attachment 3186885
Mimi si mtu nayetazama sana tv. Nalipia hicho kifurushi kwa sababu watu nnaoishi nao wanapenda channel namba 165 na 168 maisha magic, na 171 ambapo hazipatikani katikq kifurushi cha chini ya hapo. Bila hizo channel wanazopenda ningekuwa nalipia kifurushi cha chini zaidi.HALAFU inaonyesha wewe BADO hujazijua vizuri channel ZA dstv. Ni BORA uKaPANDISHA kifurushi Chako AU ukakishusha. Uzoefu Wangu umenionyesha KUWA kifurushi CHA 25,000 hakina TOFAUTI kubwa NA HICHO CHA 37500. BORA upandishe kifurushi chako AU ushuke kwenye 25,000. KUNA NAMNA AMBAYO Unaweza KUINGIA kwenye website ya dstv na ukalinganisha vifurushi KUONA NI channel zipi ZIPO KWENYE kifurushi chako, AMbAZO HAZIPO KWENYE kifurushi kingine
Uko wapi nikupe bureNawezaje kupata remote control za hawa watu
Kibamba CCMUko wapi nikupe bure
Duu niko mkoa ila nikupe tricky , dekoda na remote ikiwemo ni almost29 tu kuliko kulipia elfu kumi ya usafir kukutumia hii, ingekua napokaa kuna basi la moja kwa moja kuja hapo ningekupatiaKibamba CCM
Kabisa mkuu hatimae kesho bando langu la 3k lipumzikeKwa mara ya kwanza niangalie EPL ghetto
Nenda kwenye duka lolote linalouza decoda na vifaa vingine bei 15k.Nawezaje kupata remote control za hawa watu
Mungu akubariki sana wewe na uzao wako kwa utayari kusaidia wenye uhitajiDuu niko mkoa ila nikupe tricky , dekoda na remote ikiwemo ni almost29 tu kuliko kulipia elfu kumi ya usafir kukutumia hii, ingekua napokaa kuna basi la moja kwa moja kuja hapo ningekupatia
🙏👍Nenda kwenye duka lolote linalouza decoda na vifaa vingine bei 15k.
...Wangesema angalau Wiki, au japo Siku Tatu....Mbili ??Mhuu[emoji57] me nilijua mwezi
Mzima, sasa siku mbili za nini[emoji24]
Kwa hio unahis epl ni yakuoneshwa kwa 30k broo ?Hivi kwann Azam wasiombe kibali cha kuonesha EpL naona atapata sana wateja
Channel 168 siyo ROK?na 168 maisha magic,