Dstv wapandisha bei ya vifurushi kuanzia Septemba 1 mwaka huu

DSTV ni lini wataweka "mambo ya kikubwa" huko?
 
Kweli Mkuu, wanarudia sana vipindi mpaka wanaboa. Pia weekends hawana vipindi vizuri zaidi ya EPL kama ni msimu wake!!
 
Ongezeni local channel
 
DSTV ni lini wataweka "mambo ya kikubwa" huko?
2015 nilikua na dish la azam,kuna frequency ziliwekwa humu JF nikaenda kuzi-set nikapata Channel ya Hustler Tv kule ni mikasi tu mwanzo mwisho 24/7 sijui kama mpk leo bado ipo maana niliifuta baada ya kuona watoto wanaweza kuiona nikahamia na nikahamia dstv.
 
Hahaha waweke hiyo channel aisee, tutaruhusu wapandishe bei watakavyo.
 
Unawekaje hii asee
 
Uchumi wa Kati wa chini.

Msipende kuandika vitu nusu nusu
Nunsu nusu kivipi kiongozi wakati tumetangaziwa nchi imeingia Uchumi wa kati.

Nchi ikiingia uchumi wa kati gharama za maisha zinabadilika.

Halafu usinifokee Mimi nimenukuu tu tamko la serikali ya awamu ya tano.
 
Ni vizuri kama wangeshusha gharama zao ili ziwe chini sana halafu wateja wangekuwa wengi sana.
Kama Dstv huko South Afrika gharama ziko chini sana, kwanini Tanzania ishindikane?
 
Kweli kabisa bora turudi analog tujue moja, watakao taka kubaki digital wabaki, hizi Gharama za kila mwezi ni shida
 
Kitu kama wewe umeshakiona inawezekana kuna wengine uko duniani hawajakiona. kwahiyo wewe kama umeshaona siunaruka tu kwenye chanel nyingine.
 
Yaaani wanaboa sana mimi huwa nalipia sababu wife anaprnda sijui selina lakini nimemwambia sahv hapana aisee dstv wanakera sana movie ni zile zile kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…