Hahahaha kwahiyo tunaangaliaga recorded?ukiona ligi ya uingereza ama Uefa inapendeza usidhani ni kazi ya DSTV bali ni ligi husika zimesharecord wao wanapewa tu video.
Ndio sema ni Realtime utofauti ni sekunde tu. Hata ukiangalia Azam ligi ya hapa Nyumbani ni recorded pia.Hahahaha kwahiyo tunaangaliaga recorded?
Ndio sema ni Realtime utofauti ni sekunde tu. Hata ukiangalia Azam ligi ya hapa Nyumbani ni recorded pia.
Dstv hawafanyi production ya mechi za EPL
Production ni za Skysport na PL tv..hata wale wachambuzi wanakuwa London na ni wafanyakazi wa PL tv production
Sasa mkuu hapo si simple tu,kuwa Dstv wanapokea link yenye production tayari kutoka UK iliyo bora na channel zao ni HD za kweliIlo linafahamika iweje dstv wako na license ya kuonesha matangazo South Africa mpira unaonekana vizuri.
Azam mimi naona nikama wana inyonya sana TFF kwenye haki ya matangazo....hela wanayo toa haizidi 5b lakini unakuta wao wanaingiza pesa nyingiAzam media wakimaliza muda wao waachie mtu mwingine
Sasa mkuu hapo si simple tu,kuwa Dstv wanapokea link yenye production tayari kutoka UK iliyo bora na channel zao ni HD za kweli
Azam wanaonyesha mpira kwa kutumia kamera zao kabisa,yaani ndo wanaofanya production,na bado teknologia yao ipo nyuma
Azam mimi naona nikama wana inyonya sana TFF kwenye haki ya matangazo....hela wanayo toa haizidi 5b lakini unakuta wao wanaingiza pesa nyingi
Mwenye kisimbuzi cha Dstv kinachollipiwa mara kwa mara naomba nimpe hera nijiungie kwenye simu kwa kutumia kisimbuzi chake nataka kutumia ktk simu, nichek tuyajenge nibipu nikupigie ktk 0628748898
hiyo siyo sababu maana wameondoa michuano mingi sana kwenye bundle zao. Bundesliga, Europa League na Ligue 1 ni baadhi ya ligi ambazo tunazikosa kwa sababu zimeondolewaSawa si tumeingia Uchumi wa kati.
Mkuu mimi nina compact nitakupa buree ucheki kwenye dstv nowMwenye kisimbuzi cha Dstv kinachollipiwa mara kwa mara naomba nimpe hera nijiungie kwenye simu kwa kutumia kisimbuzi chake nataka kutumia ktk simu, nichek tuyajenge nibipu nikupigie ktk 0628748898
DsTV wapuuzi sana. Tunalipia kwa ajiri ya mechi za mpira.No, ni gharama kubwa mno. Hawana vipindi vipya sana, movies wanazirudia weeee, tangu naangalia nikiwa shule mpaka sasa nakaribia kustaafu ni zike zile.
Shida iko wapi hapo..mbona kitu cha kawaida hicho cha Dstv now?Duh hii kitu hapana
Nakuhakikishia wakipoteza haki Azam kurusha ligi vifurushi vya Dstv vitapanda maradufu.Azam media wakimaliza muda wao waachie mtu mwingine
Nakuhakikishia wakipoteza haki Azam kurusha ligi vifurushi vya Dstv vitapanda maradufu.