kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Mbona ipo hiyo chanelDSTV ni lini wataweka "mambo ya kikubwa" huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ipo hiyo chanelDSTV ni lini wataweka "mambo ya kikubwa" huko?
Nakuhakikishia wakipoteza haki Azam kurusha ligi vifurushi vya Dstv vitapanda maradufu.
nyny pambaneni na Dstv yenu..mm nishahamia Dish la CANAL SPORT...kwa 42000 tu ya kibongo naangalia UEFA, EUROPA,PREMIERE LEAGUE,ITALY,FRANCE,SPAIN...tatizo wanaongea kifaransa...ila kitu ni HD FULL KMA DSTV TU..
Hakuna mahali mtoa mada amewapangi.That's business mkuu usiwapangie watu Cha kufanya,wakati wewe unalalama na wao wanalia gharama za uendeshaji kuwa juu,hzo chanels unazoziona mpk kukufikia wewe haziruki tu kirahisi rahisi Kama unavyodhani....Hakuna biashara ngumu Kama hyo ya paytv uliza uambiwe
Thanks for the input mkuu, Chief.Ndio sema ni Realtime utofauti ni sekunde tu. Hata ukiangalia Azam ligi ya hapa Nyumbani ni recorded pia.
Mkuu Canal sio kwamba wanakubidi uwe kwenye eneo cable yao inapopita?nyny pambaneni na Dstv yenu..mm nishahamia Dish la CANAL SPORT...kwa 42000 tu ya kibongo naangalia UEFA, EUROPA,PREMIERE LEAGUE,ITALY,FRANCE,SPAIN...tatizo wanaongea kifaransa...ila kitu ni HD FULL KMA DSTV TU..
Channel namba ngapi na naipataje????Mbona ipo hiyo chanel
Thanks for the input mkuu, Chief.
Nipo curious kujua zaidi hii issue ya 'recorded'
Embu tufungue macho zaidi.
Pia, hii ina uhusiano na ile scenario ya matukio kuwa yanatangulia zaidi kwa mtu anayesikiliza EPL kwenye radio Vs mtazamaji?
Mkuu Canal sio kwamba wanakubidi uwe kwenye eneo cable yao inapopita?
Mara ya mwisho niliwaona Ushirombo, Geita takriban miaka 4 iliyopita
Uwanjani kuna Camera, zile camera zina record tukio halafu video husika inaenda kwenye storage device kama Ni hard disk ama memory card then kutokea hapo inapelekwa kwenye kituo husika na kurushwa hewani ili watazamaji waone. Hivyo tukio la Kurekodi lazima liwepo.
Kuhusu kuchelewa nafikiri ni sababu ya Satelite, Siku zote satelite inakuwa na latency kubwa, video ikifika kituoni irushwe kwenye satelite kwanza mpaka ifike halafu itoke kwenye satelite ije kwenye Dishi lako inachukua muda.
Hapana si kweli,Canal+ HD pamoja na dish lake wanauza complete 180,000 na hapo unaongeza 10,000 ya usafiri kutoka Kigoma kuja Mkoa wako ulipo.Mkuu nimeulizia canal dish na king’amuzi chake hapa wanauza laki 300k complete
Canal+ ina Decoder mbili, SD na HD. HD channel zake zote ni HD ndio maana ina HDMI cable wakati SD haina HDMI cable.Mkuu nimepata Canal Dish na be yao ni laki 300k nimeshawishika kuinunua maana hii Dstv Gharama inanishida kabsa, vip ushawahi kuitumia au kupata changamoto yeyote? Maana nimeona ina sehemu ya HDMI bila shaka ina channel za HD.
Kwenye matumizi haina tatizo lolote,karibu Mwaka wa 5 huu naitumia.Mkuu nimepata Canal Dish na be yao ni laki 300k nimeshawishika kuinunua maana hii Dstv Gharama inanishida kabsa, vip ushawahi kuitumia au kupata changamoto yeyote? Maana nimeona ina sehemu ya HDMI bila shaka ina channel za HD.
Hapana si kweli,Canal+ HD pamoja na dish lake wanauza complete 180,000 na hapo unaongeza 10,000 ya usafiri kutoka Kigoma kuja Mkoa wako ulipo.
Canal+ ina Decoder mbili, SD na HD. HD channel zake zote ni HD ndio maana ina HDMI cable wakati SD haina HDMI cable.
Mkuu channel zao za movies zinatumia lugha ya Kiingereza au nazo ni kifaransa?Hapana si kweli,Canal+ HD pamoja na dish lake wanauza complete 180,000 na hapo unaongeza 10,000 ya usafiri kutoka Kigoma kuja Mkoa wako ulipo.
Unataka kuhangaika na hio SUPERBLAND?ITV imerudi...? siku ikirudi mnishtue