Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu uliopita hawakuonesha haya mashindano.Mbona DSTV ilikuwa ikionyesha haya mashindano?
Ama ndio wamefunga mkataba mwingine!!
Sasa hivi itakuwa kile cha 25,000/-...Mwaka Juzi waliweka kwenye kifurushi cha 10,000/=
Mshangazi kama mshangazi katikia.DSTV wachukue na haki ya kuonyesha X
Wameshaonyesha sana hao kuna chanell ilikuwa inarusha live kabisa.DSTV wachukue na haki ya kuonyesha X
Unauliza au unatoa statement?Mbona ni misimu yote huwa wanaonyesha kuanzia hatua ya makundi?
Tayari hukuHatimae DStv wamepata haki za kuonyesha mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika na zile za Shirikisho kwa msimu huu wa 2024/2025.
Hii itakuwa nafuu kwa wateja wa DStv waliokuwa wanakosa uhondo huo mpaka waende Vibanda umiza.
DStv anaungana na Azam Tv pamoja na SABC kuwa vituo vyenye haki ya kurusha matangazo hayo huku wengine wakiwa ni Canal Sports pamoja na Bein Sports
Motsepeameupiga mwingi!!
225 na 227 kuanzia kifurushi cha Bomba 25,000Mechi za caf ni channel namba ngapi?
Umechezea za uso tena.DSTV wachukue na haki ya kuonyesha X
Afu unawekewa matangazo ya BETWAY au Guinness?Kwa sasa tunaweza kuangalia kwa amani bila yale matangazo ya chapati