Dstv yangu huu ni mwezi wa 3 nakula maisha

Dstv yangu huu ni mwezi wa 3 nakula maisha

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia.

Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.

Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?
 
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia.

Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.

Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?
Usibadili kifurushi wala usiwapigie kwan watakushtukia
 
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia.

Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.

Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?
Mimi kuna mtu kaniuzia king'amuzi cha demo no kulipia
 
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia.

Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.

Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?
Nikwamba ukilipia kifurushi chako kabla mda wake haujaisha wanakuupgrade kwenda Cha juu yake Cha ulicholipia
 
Back
Top Bottom