DTB yaanza kishindo NBC, Ntibazonkiza asaini miaka miwili

DTB yaanza kishindo NBC, Ntibazonkiza asaini miaka miwili

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Za ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC.

Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za kushiriki michuano ya kimataifa. Hivyo wanapambana kuhakikisha wanachukua wachezaji wenye uzoefu na wamepania kuzibomoa Simba, Yanga ma Azam.

Poleni wananchi kwa kumpoteza mchezaji wenu muhimu
 
Za ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC.

Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za kushiriki michuano ya kimataifa. Hivyo wanapambana kuhakikisha wanachukua wachezaji wenye uzoefu na wamepania kuzibomoa Simba, Yanga ma Azam.

Poleni wananchi kwa kumpoteza mchezaji wenu muhimu
Unamaanisha Singida United 😂😂😂 naona Waziri kaamua kuchukua kijana wake kutoka timu kipenzi chake kumpeleka timu yake ya jimboni
 
DTB washamba tu ligi kuu sio daraja la kwanza. Wamepanda ligi kuu kwa kuhonga marefa, lazima washuke daraja.
 
Back
Top Bottom