Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni timu ya benki hiyo wakina mwigulu waliuzaDtb ni ya mwigulu nchemba
mbona inarudi singida? usimuamini sana lameck madelu keshakuwa bilionea yule mtuNi timu ya benki hiyo wakina mwigulu waliuza
DTB ni Singida United iliyochangamka
Tafsiri pana ya maneno haya ni nini?Kwani Mwenyewe Anasemaje?View attachment 2240060
Ameshasema Ataongea, Tusubiri.Tafsiri pana ya maneno haya ni nini?
Yaan Gulu Chemba awe na hela za kumzidi MO na Bakhresa? Kwa Mshahara gan hasa wa kwenye Cabinet? Labda apige na madili maana yuko kitengo nyeti cha NjulukuZa ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC.
Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za kushiriki michuano ya kimataifa. Hivyo wanapambana kuhakikisha wanachukua wachezaji wenye uzoefu na wamepania kuzibomoa Simba, Yanga ma Azam.
Poleni wananchi kwa kumpoteza mchezaji wenu muhimu
Azam hakuna wachezaji paleZa ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC.
Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za kushiriki michuano ya kimataifa. Hivyo wanapambana kuhakikisha wanachukua wachezaji wenye uzoefu na wamepania kuzibomoa Simba, Yanga ma Azam.
Poleni wananchi kwa kumpoteza mchezaji wenu muhimu
Tozo zetuYaan Gulu Chemba awe na hela za kumzidi MO na Bakhresa? Kwa Mshahara gan hasa wa kwenye Cabinet? Labda apige na madili maana yuko kitengo nyeti cha Njuluku
Tigere, Kola, Bruce KangawaAzam hakuna wachezaji pale
Labda hao wawili ila bruce kangwa kazeka spidi imekata,miaka 34Tigere, Kola, Bruce Kangawa
Wanawachukua Makambo, Kaseke na Dumayo (Azam FC).DTB wamchukue na Mayele itapendeza sana
Huyu mzee atafungwa jela msimu.ujao.kama namuona CAG kashusha miwani chini ya macho akiiangalia kwa umakini mkubwa DTBYaan Gulu Chemba awe na hela za kumzidi MO na Bakhresa? Kwa Mshahara gan hasa wa kwenye Cabinet? Labda apige na madili maana yuko kitengo nyeti cha Njuluku
Njoo ukanusheAsante Kwa Hadithi Za Abunuasi.