Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Taja wote sio Saidoo tu na wengine kibao toka Yanga, Simba na Azam ambao ni wachezaji wazuri sana ila hawapangwi. DTB wachukue Kaseke, Ninja, Kabwili , Makambo, Yassin, Ushindi, Yusuph Athumani na Ngushi
Samahani Mikia aka Makolo FC sioni mchezaji wenu mzuri hata mmoja wa kuchezea DTB
Samahani Mikia aka Makolo FC sioni mchezaji wenu mzuri hata mmoja wa kuchezea DTB