Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
M-pesaNi bank au
Shadeeya aanze mbeleDJ walete utopolo hapa na Amapiano!!!
Dtb ni ya mwigulu nchembaBora aende uko akachukie hell za muhindi wa dtb
NakaziaDtb ni ya mwigulu nchemba
Singida United iliyochangamkaDtb ni ya mwigulu nchemba
Unamaanisha Singida United πππ naona Waziri kaamua kuchukua kijana wake kutoka timu kipenzi chake kumpeleka timu yake ya jimboniZa ndaaani kabisaaaa, Saidoo Ntibazonkiza amemwaga saini ya miaka miwili kuwatumikia DTB ambayo ni timu mpya katika ligi kuu ya NBC.
Unaambiwa DTB wana mipango ya kutaka kupata nafasi za kushiriki michuano ya kimataifa. Hivyo wanapambana kuhakikisha wanachukua wachezaji wenye uzoefu na wamepania kuzibomoa Simba, Yanga ma Azam.
Poleni wananchi kwa kumpoteza mchezaji wenu muhimu
Daah majibu ya humu ndaniM-pesa