DTB yaanza kishindo NBC, Ntibazonkiza asaini miaka miwili

Saido kama pesa alikwishavuna nyingi akiwa ulaya hapa yanga anacheza akiwa anafurahia tu anaipenda yanga

Dtb akafanyeje huko?
 
Yaan Gulu Chemba awe na hela za kumzidi MO na Bakhresa? Kwa Mshahara gan hasa wa kwenye Cabinet? Labda apige na madili maana yuko kitengo nyeti cha Njuluku
 
Azam hakuna wachezaji pale
 
Kwanini hii timu imehamia Singida?,au maagizo ya Mwigulu?.
 
Yaan Gulu Chemba awe na hela za kumzidi MO na Bakhresa? Kwa Mshahara gan hasa wa kwenye Cabinet? Labda apige na madili maana yuko kitengo nyeti cha Njuluku
Huyu mzee atafungwa jela msimu.ujao.kama namuona CAG kashusha miwani chini ya macho akiiangalia kwa umakini mkubwa DTB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…