1. Allah aniondoshe katika dunia hii hali ya kuwa umeniridhia
2. Allah aniondishe katika dunia hali ya kuwa sina dhambi hata mmoja
3. Anijalie kaburi langu liwe miongoni mwa mabustani ya peponi na lisiwe miongoni mwa mashimo ya moto wa Jahannam
4. Namuomba Allah anijaalie aniingize katika pepo yake bila hata kunifanyia hesabu tena katika daraja la juu
5. Anijaalie anifufue uso wangu wenye nuru
6. Atujaalie waislam wote duniani tushikamane baina yetu
2. Allah aniondishe katika dunia hali ya kuwa sina dhambi hata mmoja
3. Anijalie kaburi langu liwe miongoni mwa mabustani ya peponi na lisiwe miongoni mwa mashimo ya moto wa Jahannam
4. Namuomba Allah anijaalie aniingize katika pepo yake bila hata kunifanyia hesabu tena katika daraja la juu
5. Anijaalie anifufue uso wangu wenye nuru
6. Atujaalie waislam wote duniani tushikamane baina yetu