Bado mnaongozwa na myths za kidini🤔? Mungu angekuwa na mawazo kama ya binadamu watu tusingekuwepo mpaka leo.Badala ya kushughulika na dhambi zako,unashupalia dhambi za wenzako.Vizuri..
Pia naskia Kuna ALBADIRI tayari imesomwa🙄
Hapo ni kila mmoja kuchunga HATMA yake na uzao wake. Ukitekeleza maagizo ya kihuni ya watawala, inakula kwako na uzao wako
Khaaaaaaa wewe kiboko, niliua huku kwenye hizi laaana hutaingia, kumbe unachungulia
"Mungu baba uliyeketi katika kiti cha juu umlaani Bia yetu yeye na kizazi chake na wenzake wote wanaoshabikia dhuluma hata kutufungia mawasiliano kwa nia ya kuiba Kura tu ili waendelee kusaza na mkumwaga, uwalaani hadi vizazi vyao vya 4
-Askofu Mwamakula
Hakuna laana inayoweza kumpata mtu kutoka kwa askofu mwanasiasa na mpumbavu kama yule. Chamsingi asubirie tu kuletewa sadaka kanisani maana ndo uhai na ujanja wake hapa duniani.Khaaaaaaa wewe kiboko, niliua huku kwenye hizi laaana hutaingia, kumbe unachungulia
"Mungu baba uliyeketi katika kiti cha juu umlaani Bia yetu yeye na kizazi chake na wenzake wote wanaoshabikia dhuluma hata kutufungia mawasiliano kwa nia ya kuiba Kura tu ili waendelee kusaza na mkumwaga, uwalaani hadi vizazi vyao vya 4
-Askofu Mwamakula
Mpumbavu sana huyo askofu.Maombi ya mlevi ni kazi bure
AMENNinakazia, tena afedheheshwe mpaka kizazi cha nne.
Neno la Mungu liko wazi. Na linaishi. Wala sio masihara. Watalaaniwa kuanzia wao, uzao wao na wajukuu na vitukuu.Tunza naneno kwaajili ya kesho
Nimetoka kituoni sasa hivi hapa Ukonga. Nimeshangaa kwamba hakuna wazee kabisa ni vjana tupu. Mazoea zamani unaenda kituoni saa kumi na mbili unakutana na vibibi na vibabu leo hali iko tofauti kabisa.Mwambie huyo Askofu kuwa vijana waliokuwa wanafurika mikutano ya Lisu Leo wameingia mitini vituo vya kura hawaonekani wamefurika watu wazima tu
Mwambie huyo Askofu kuwa vijana waliokuwa wanafurika mikutano ya Lisu Leo wameingia mitini vituo vya kura hawaonekani wamefurika watu wazima tu
Naongelea vituo vya kupiga kuraHao watu wazima walikuwepo kwenye fiesta uchwara?
Nimetoka kituoni sasa hivi hapa Ukonga. Nimeshangaa kwamba hakuna wazee kabisa ni vjana tupu. Mazoea zamani unaenda kituoni saa kumi na mbili unakutana na vibibi na vibabu leo hali iko tofauti kabisa.
Ninakazia, tena afedheheshwe mpaka kizazi cha nne.
Mungu abasikia na atajibuYani wewe unataka? Hivi mnafikirii huyo Mungu ni Amsterdam?
Dua la kwio halimpati mwewe......Ninakazia, tena afedheheshwe mpaka kizazi cha nne.
😁😁😁 Hata vijana waliwahi,wazee watakuja na kupiga kura Kama kawaida.Nimetoka kituoni sasa hivi hapa Ukonga. Nimeshangaa kwamba hakuna wazee kabisa ni vjana tupu. Mazoea zamani unaenda kituoni saa kumi na mbili unakutana na vibibi na vibabu leo hali iko tofauti kabisa.
Naongelea vituo vya kupiga kura
wewe unayejua maandiko hebu fafanua,acha kuwaza kwa matako nduguHuyajui maandiko. Unachokisema kama ingekuwa hivyo, kusingekuwa na maombi yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
soma maandiko uelewe,kama hujui kaa pembeniKwa hiyo hata wale wala watu, akina iddi Amin Dada, Bokasa, Hitler, nk waliwekwa na Mungu?!
Ngariba hilo halitakuja tokea, ndiyo maana nchi yetu inaongozwa na mfumo ambao umejaa wazalendoNinakazia, tena afedheheshwe mpaka kizazi cha nne.
Wazee hali mbaya kiafya, labda wapelekewe majumbani... kizazi cha zamani kinaelekea kupotea chini ya jua.