Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tayari Mungu ameshajibu watu wanapiga makelele hata pasipohitaji makelele,huo ni mwanzo wa wazimu.Dua hii ni kama mipasho, Mungu Yuko busy hawezi angaika na upuuzi huu
Amen !!!!!Jiwe ataangamia kwa kukosa maarifa
Hata Shetani alikuwa malaikaWanaposema Kila mamlaka inatoka kwa Mungu,huwa hawamaanishi Kila mamlaka Ni nzuri.Mamlaka nyingine huwekwa ili iwe funzo kwa wanadamu waliomkosea Mungu ili waweze kutubu.
😂😂😂Mimi nataka fedheha mojawapo ya kuipata ni kuwa kama mhusika wa kuiba haki ya uchaguzi huu ni mwanaume basi akose nguvu za kiume na adharauliwe na mkewe kuwa siyo mwanaume kamili hata kama ni tajiri na ana mavyeo makubwa kiasi gani!
Hayo ndio majibu, ya huyo Mungu wenu aliowaambia?Mbona tayari Mungu ameshajibu watu wanapiga makelele hata pasipohitaji makelele,huo ni mwanzo wa wazimu.
Mkuu wewe unataka wezi wa kura wasilaaniwe?Hakuna askofu hapo
Yuko kwenye karatasi ya kupigia kuraHayo ndio maombi ya Askofu?
Kweli Mungu siku hizi anataniwa.
By the way, hivi mleta mada Membe yuko wapi?
Sasa unaogopa nini hapo? Kwani unataka kuiba kura?Upuuzi mtupu. Dua la Kuku halimpati mwewe. Huyu askofu ni mchumia tumbo.Imeandikwa, laana isiyo sababu haimpati mtu.
So ndugu Mataga wewe unataka kura ziendelee kuibiwa?Askofu feki, kazi ya kiongozi wa dini ni kuombea wenye dhambi ili wabadirike na sio kulaani ndio maana kamekaa kameshupaa kama kachawi halafu kanajiita askofu
Kwani Mungu alipotamka hayo alikuwa haoni wahusika?Kizazi chake kinahusika vipi na makosa ya watu wao wa leo,shit
Tudeal na wahusika wasiokuwa wahusika tuwaache.
Natamani na wewe upate laana ya jiwe.Wewe ni pimbi. Serikali inaongozwa na mfumo si mtu mmoja. Subiri lijinga wewe baada ya huyo kibaraka wenu kushindwa. Mnaishi kwa ujinga wa eti mfanyakazi wa serikali akiumwa eti karma, nyani mkubwa kila mtu ataugua na kifo hata wewe utakufa shenzi kabisa
Swali, je watakaoiba kura unataka wasilaaniwe?Nani kaibiwa kura
Mataga mama yako na baba yako aliyekuzaaSo ndugu Mataga wewe unataka kura ziendelee kuibiwa?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kama watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Watawala, Wasimamizi wa vituo na mtu yeyote anayehusika na uchaguzi wanataka waendelee kuishi kwa baraka katika maisha yao, basi wajichunge sana namna watakavyoendesha na kusimamia uchaguzi huu.
Wawe makini kwa sababu kuna dua nzito sana imeombwa na Askofu Mwamakula, Dua ya mtu yeyote yule atakayehusika kuiba haki katika uchaguzi huu ya kufedheheshwa hapahapa duniani yeye mwenyewe hadi kizazi chake cha nne.
Sasa nyie Watawala, watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Wakuu wa vyombo vya usalama fahamuni kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yenu binafsi, kunamaisha ya familia zenu. Hao watawala mnaowapigania watapita lakini Jueni kuwa kuna Dua ya Laana iko juu yenu mkivuruga uchaguzi huu.
Nyie mna watoto, au wajukuu, mtapata vitukuu n. k itawasaidia nini mtie uzao wenu laana eti kwa sababu ya ajira ya leo au posho ya leo?
Rais Magufuli, Jaji Kaijage, Jaji Mihayo, Diwani Athumani, Simon Sirro, Mkuu wa Majeshi Mabeyo na wooote ambao wanapokea amri zao hadi huko kwa wasimamizi wa vituo vya kura. Mko tayari nyinyi hii Dua ya kuwapatilizeni nyie hadi uzao wenu wa nne iwatafune?
Basi watendeeni haki Watanzania la sivyo msije mkafanywa dhalili katika dunia hii, mkawa na vizazi vilivyolaaniwa sababu tu ya kutowatendea haki watanzania!
Kuna maisha baada ya uchaguzi huu, kumbukeni hilo