Uchaguzi 2020 Dua ya Askofu Mwamakula: Atakayehusika na kudhulumu uchaguzi afedheheshwe yeye hadi kizazi chake cha nne!

Askofu feki, kazi ya kiongozi wa dini ni kuombea wenye dhambi ili wabadirike na sio kulaani ndio maana kamekaa kameshupaa kama kachawi halafu kanajiita askofu
 
Ngariba hilo halitakuja tokea, ndiyo maana nchi yetu inaongozwa na mfumo ambao umejaa wazalendo
Hehhrr kuna mtu ni waziri ktk serikali ya JPM kaka yake ana kansa muda wowote anapotea, mdogo wake ana stroke anajienyea tu hata mavi hawezi kwenda chooni. Mama yake anaumwa Figo zimefeli. Moja ya watoto wake ana autism.

Ukisikia laana ndio hizi. Na wako wengi. Kuna mwingine mama yake yuko vegetative state huu mwaka wa 4.
 
Askofu feki, kazi ya kiongozi wa dini ni kuombea wenye dhambi ili wabadirike na sio kulaani ndio maana kamekaa kameshupaa kama kachawi halafu kanajiita askofu
Laana imeletw ana Mungu mwenyewe kuwanyosha wakaidi.

Mungu ameandika kwenye biblia yake kuwa atawapatiliza wana wa watenda maovu kunzia kizazi cha kwanza hadi cha nne
 
Wewe ni pimbi. Serikali inaongozwa na mfumo si mtu mmoja. Subiri lijinga wewe baada ya huyo kibaraka wenu kushindwa. Mnaishi kwa ujinga wa eti mfanyakazi wa serikali akiumwa eti karma, nyani mkubwa kila mtu ataugua na kifo hata wewe utakufa shenzi kabisa
 
Amina kwa Jina la Yesu Mtumishi wa Mungu
 
Mfumo upi huo? one man show nayo ni mfumo?sema inaendeshwa kwa amri ya mtu asiyefuata sheria
 
Tanzania, serikali inaongozwa na mtu mmoja ambaye ni Magufuli na wala sio mfumo
 
Dua la kuku halimpati mwewe..........everyone lives on their own matrix
 
Upuuzi mtupu. Dua la Kuku halimpati mwewe. Huyu askofu ni mchumia tumbo.Imeandikwa, laana isiyo sababu haimpati mtu.


Upuuzi kivipi wakati mtu amesisitiza kusimamia haki?
Sifa kubwa ya Mungu ni kupendezwa na utolewaji haki.
Ni kweli imeandikwa laana isiyo na sababu haimpati mtu lakini unaelewa maana yake?

Kama watafanya udhalimu au hila/gilba yoyote hiyo itakuwa ni mojawapo ya sababu ya kupata laana.

Tumuogope sana Mwenyezi Mungu kwa kutenda kwa Haki .
 
Ndio matokeo ya kureply kabla hujasoma thread,hivi umeelewa mada inasema nini?,kwani askofu hajatii mamlaka?,kwani askofu amekana kwamba mamlaka hazina vibali?,
Ningekuwa sijasoma nisinge jibu,inaonyesha ni kiasi gani mawazo ako na mtazamo wako ulivyo,kitu ambacho vijana wengi wa chadema ambacho mnacho ni stupid mentality, thinking capacity yenu ni ndogo sana ,mnapenda kuwa driven na emotional
 
Tanzania, serikali inaongozwa na mtu mmoja ambaye ni Magufuli na wala sio mfumo
Jidanganye, kwa sababu ile ni mfumo ndiyo maana hamma pa kutokea pimbi wakubwa. Mfumo mmojawapo ni wawapiga kura, lazima mtoswe then mfumo uwashughulikie pimbi nyie
 
bado hujajua kama ukisali unatoa tamko???

kusema Mungu atatenda ni tamko hilo,ukiachana na mengine kama kusema atakayedhurumu na apate laana.
Hujui maandiko so you can quite from this.
 
Kizazi chake kinahusika vipi na makosa ya watu wao wa leo,shit
Tudeal na wahusika wasiokuwa wahusika tuwaache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…