Huko Zanzibar laana itaanza kwa mwinyi kufurushwa kama sultani kwenye mapinduzi ya 1964. Wazanzibari wameandaa mapinduzi ya pili iwapo mwinyi atalazimishwa kuwa rais. Mwinyi in MTU wa Mkurunga kama sultan alivyo MTU wa Uarabuni. Wote ni wageni Zanzibar.Vizuri..
Pia naskia Kuna ALBADIRI tayari imesomwa[emoji849]
Hapo ni kila mmoja kuchunga HATMA yake na uzao wake. Ukitekeleza maagizo ya kihuni ya watawala, inakula kwako na uzao wako
Si ndo maana tumewaona akina Makamba na Kinana wakipakwa "UPAKO"Wanaposema Kila mamlaka inatoka kwa Mungu,huwa hawamaanishi Kila mamlaka Ni nzuri.Mamlaka nyingine huwekwa ili iwe funzo kwa wanadamu waliomkosea Mungu ili waweze kutubu.
Mkuu wazazi wangu hapo wanaingiaje?Mataga mama yako na baba yako aliyekuzaa
Na mimi utaniitaje mataga wewe ndio ulinipa kadi ya mataga.ungeweza kujibu hoja bila kunihusisha na mataga lakini kama unavyotaka wazazi wako waishimiwe ndivyo unavyotakiwa kuheshimu watu wengineMkuu wazazi wangu hapo wanaingiaje?
Mataga ccm ndiyo walijiita na wala hawajaitwa na mtu, kwani nimekukosea wapi mkuu?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sasa ni utopolo gani ule uliandika kama umesoma na kuelewa thread??Ningekuwa sijasoma nisinge jibu,inaonyesha ni kiasi gani mawazo ako na mtazamo wako ulivyo,kitu ambacho vijana wengi wa chadema ambacho mnacho ni stupid mentality, thinking capacity yenu ni ndogo sana ,mnapenda kuwa driven na emotional
Kizazi chake cha nne kimekosea nini sasa?Kama watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Watawala, Wasimamizi wa vituo na mtu yeyote anayehusika na uchaguzi wanataka waendelee kuishi kwa baraka katika maisha yao, basi wajichunge sana namna watakavyoendesha na kusimamia uchaguzi huu.
Wawe makini kwa sababu kuna dua nzito sana imeombwa na Askofu Mwamakula, Dua ya mtu yeyote yule atakayehusika kuiba haki katika uchaguzi huu ya kufedheheshwa hapahapa duniani yeye mwenyewe hadi kizazi chake cha nne.
Sasa nyie Watawala, watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Wakuu wa vyombo vya usalama fahamuni kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yenu binafsi, kunamaisha ya familia zenu. Hao watawala mnaowapigania watapita lakini Jueni kuwa kuna Dua ya Laana iko juu yenu mkivuruga uchaguzi huu.
Nyie mna watoto, au wajukuu, mtapata vitukuu n. k itawasaidia nini mtie uzao wenu laana eti kwa sababu ya ajira ya leo au posho ya leo?
Rais Magufuli, Jaji Kaijage, Jaji Mihayo, Diwani Athumani, Simon Sirro, Mkuu wa Majeshi Mabeyo na wooote ambao wanapokea amri zao hadi huko kwa wasimamizi wa vituo vya kura. Mko tayari nyinyi hii Dua ya kuwapatilizeni nyie hadi uzao wenu wa nne iwatafune?
Basi watendeeni haki Watanzania la sivyo msije mkafanywa dhalili katika dunia hii, mkawa na vizazi vilivyolaaniwa sababu tu ya kutowatendea haki watanzania!
Kuna maisha baada ya uchaguzi huu, kumbukeni hilo
Kizazi chake cha nne kimekosea nini sasa?
Mjadala upo JF si jimboni.Nenda kuulize pale jimboni kwake
Mjadala upo JF si jimboni.
Kwani wapi nimesema nataka jibu la ufasaha kutoka kwa askofu mwenyewe?Humu hakuna atakayekupa jibu la ufasaha zaidi ya askofu mwenyewe mkuu.
Kwani hapo asikofu amedharau mamlaka kivipiBiblia husema,kabla hujatoa boriti kwenye jicho la mwenzako, basi toa kibanzi kilicho jichoni mwako, Biblia husema tii mamlaka iliyopo maana ina kibali na Mungu,kila mamlaka ina makusudi yake mbele ya Mungu, hivyo yeye kama askofu hana mamlaka ya kushindana na Mungu, yeye ni binadamu tu
Kwani wapi nimesema nataka jibu la ufasaha kutoka kwa askofu mwenyewe?
Na unajuaje askofu mwenyewe hayumo humu?
What has that got to do with the price of pork in China?Sawa atheist.[emoji119]
wewe upo menop.... hujielewiSasa ni utopolo gani ule uliandika kama umesoma na kuelewa thread??
Tatizo la Askofu ameanza kufedheheshwa yeye.Kama watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Watawala, Wasimamizi wa vituo na mtu yeyote anayehusika na uchaguzi wanataka waendelee kuishi kwa baraka katika maisha yao, basi wajichunge sana namna watakavyoendesha na kusimamia uchaguzi huu.
Wawe makini kwa sababu kuna dua nzito sana imeombwa na Askofu Mwamakula, Dua ya mtu yeyote yule atakayehusika kuiba haki katika uchaguzi huu ya kufedheheshwa hapahapa duniani yeye mwenyewe hadi kizazi chake cha nne.
Sasa nyie Watawala, watumishi wa NEC, TISS, Wakurugenzi, Wakuu wa vyombo vya usalama fahamuni kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yenu binafsi, kunamaisha ya familia zenu. Hao watawala mnaowapigania watapita lakini Jueni kuwa kuna Dua ya Laana iko juu yenu mkivuruga uchaguzi huu.
Nyie mna watoto, au wajukuu, mtapata vitukuu n. k itawasaidia nini mtie uzao wenu laana eti kwa sababu ya ajira ya leo au posho ya leo?
Rais Magufuli, Jaji Kaijage, Jaji Mihayo, Diwani Athumani, Simon Sirro, Mkuu wa Majeshi Mabeyo na wooote ambao wanapokea amri zao hadi huko kwa wasimamizi wa vituo vya kura. Mko tayari nyinyi hii Dua ya kuwapatilizeni nyie hadi uzao wenu wa nne iwatafune?
Basi watendeeni haki Watanzania la sivyo msije mkafanywa dhalili katika dunia hii, mkawa na vizazi vilivyolaaniwa sababu tu ya kutowatendea haki watanzania!
Kuna maisha baada ya uchaguzi huu, kumbukeni hilo
AmsterdamUchaguzi umeisha, sasa waliouvuruga kuna maisha baada ya tarehe 28/10/2020