Dua ya Kura Tatu Mnyanyani Dua ya Mwisho Iliyoleta Uhuru wa Tanganyika

Dua ya Kura Tatu Mnyanyani Dua ya Mwisho Iliyoleta Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Jumla ya dua ambazo TANU ilisoma kuomba msaada wa Allah ni tano.

Kila dua ilikuwa na sababu na chanzo chake.

Dua nne zilikuwa kuwaombea watu makhsusi wasiangamizwe na njama na hila za Waingereza: Dua ya Ali Rashid Meli, Dua ya Abdulwahid Kleist Sykes na Dua mbili za kumuombea Julius Kambarage Nyerere.

Dua ya tano ya Mnyanjani ilikuwa dua ya kuiombea TANU ivuke salama mtego uliotegwa na Waingereza.

Baada ya Dua ya Mnyanjani TANU hali ya Tanganyika ilitulia.

TANU ilipata ushindi mkubwa dhidi ya UTP kiasi ofisi ya UTP Tanga ilifunga shughuli zake na kwa mapenzi makubwa kiongozi wa UTP Tanga alichukua samani za ofisi ya UTP wakawapa ofisi ya TANU Ngamiani Tanga.


View: https://youtu.be/K3MgT9pD2Mo?si=18l7MQwaCa81jwTV
 
Tulipata uhuru kwa dua?!
Inside 10,
Hapana haja ya kutaka kukufuru.

Ukipenda amini tu kuwa Mungu hayupo na tuendelee na mengine.

Tanzania ni nchi huru na halazimishwi mtu kuamini Mungu.
 
Inside 10,
Hapana haja ya kutaka kukufuru.

Ukipenda amini tu kuwa Mungu hayupo na tuendelee na mengine.

Tanzania ni nchi huru na halazimishwi mtu kuamini Mungu.
sorry mzee wangu sikuwa na nia mbaya.. jinsi kuuliza.
Nitajitahidi kuweka mantiki nzuri yakutaka kuelewa naamini utanielewesha.
 
Back
Top Bottom