Dua ya mwenye dhambi haina nguvu ya kushambulia

Dua ya mwenye dhambi haina nguvu ya kushambulia

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Duniani kuna mzaha na utani mwingi sana, utakuta mtu yaani mlimwengu mzinifu, msherati,mlevi, mla rushwa, mbea, muongo, mwizi, mnafiki, mfitini, mtu wa dhuluma,muuaji.

Hivi hawa watu wanapata wapi nguvu ya kusema oooh Mungu atakulipia, Mungu yupi huyo anaekuongoza kwenye hizo dhambi zako zote zinazojaa contena la futi 40,?

Uongo dhambi bila toba utabaki mdebwedo tu na utateseka sana.

Tuache mzaha na Mungu. Mungu ana mambo mengi sana kwanza hajamalizana na wewe kukushughulikia kwa muendelezo wa dhambi zako.

Fanya toba kwanza ndio malaika wapiganaji wakuingia bila hivo utashindwa vita zote.

Ukikaidi Ndoige na Peresu Peresu zitakuhusu usilalamikw.

Good morning!!

Wadiz.
 
Asubuhi yote hii unatusema


FB_IMG_16703917954022575.jpg
 
Haya mafundisho yako ni mapya na kiufupi humjui Mungu au mungu unayemjua sio huyu tunayemjua sisi! Hivi ni nani mtakatifu duniani hapa ASIYE NA DHAMBI? Kama Mungu angekuwa anawasikiliza wasio na dhambi tu unadhani wewe pia ungefanikiwa kwa lolote? Biblia takatifu inasema kwa jinsi Mungu alivyo mwema habagui katika kutoa fadhili zake maana "huwanyeshea mvua yake waovu na wema".
We unasema nini bwana. Acha kupotosha!
 
Wewe upo kwenye umbea au unafiki? maana umekuja kumsema mtu wako wa karibu.
hapana angalia mantiki ni nyumbulifu ama mtambuka, mifano inanihusu hata mimi mwenyewe, angalia logic ndio muhimu. Hapa dhana ni kujisahihisha au toba ndipo Mungu akushike mkono, Mungu hafanya kazi na moyo safi, Mungu hakai mahali pachafu.
 
Haya mafundisho yako ni mapya na kiufupi humjui Mungu au mungu unayemjua sio huyu tunayemjua sisi! Hivi ni nani mtakatifu duniani hapa ASIYE NA DHAMBI? Kama Mungu angekuwa anawasikiliza wasio na dhambi tu unadhani wewe pia ungefanikiwa kwa lolote? Biblia takatifu inasema kwa jinsi Mungu alivyo mwema habagui katika kutoa fadhili zake maana "huwanyeshea mvua yake waovu na wema".
We unasema nini bwana. Acha kupotosha!
Mungu hukaa ndani ya moyo safi, Mungu hakai mahali pachafu. Simple logic, beba maana chanya hasa ya kujitakasa na toba.
 
Maudhui ni toba Mungu hukaa ndani ya moyo safi
Sasa yesu alifata wasafi au akina sie ... So Ajabu nkamuona ile njia pana na akina Hitler akichezea kiberiti.
Kama Malaya alipona Moto, mwambie jamaa ajikaze safari Bado.
 
Inahitaji akili kubwa kuona maudhui ya toba na kujitakasa

Mimi najua kwaza huwa siendi kanisan kama sina sababu hila ww uzi wako ulivyo leta nikama kuna kitu kimekukwaza then unatafuta sehemu ya kuhalalisha unapingan na ukweli that why nasema hii ni defence mechanism
 
Sasa yesu alifata wasafi au akina sie ... So Ajabu nkamuona ile njia pana na akina Hitler akichezea kiberiti.
Kama Malaya alipona Moto, mwambie jamaa ajikaze safari Bado.
Hii mada yangu ni fikirishi sana, inataka fikra chanya tu ya kiimani kisa ufanye reflection ndogo tu ya makazi ya bwana, Mungu hukaa ndani ya roho safi, anapenda utakaso wa nafsi na roho.
 
Mimi najua kwaza huwa siendi kanisan kama sina sababu hila ww uzi wako ulivyo leta nikama kuna kitu kimekukwaza then unatafuta sehemu ya kuhalalisha unapingan na ukweli that why nasema hii ni defence mechanism
Hapana Mkuu nimehuisha maudhui mahali, nimeona gap kisha Mungu akanipa wazo.
 
hapana angalia mantiki ni nyumbulifu ama mtambuka, mifano inanihusu hata mimi mwenyewe, angalia logic ndio muhimu. Hapa dhana ni kujisahihisha au toba ndipo Mungu akushike mkono, Mungu hafanya kazi na moyo safi, Mungu hakai mahali pachafu.
Ingekuwa hivyo wale wanaoshinda kwenye nyumba za ibada wangekuwa na maisha bora.
 
Ingekuwa hivyo wale wanaoshinda kwenye nyumba za ibada wangekuwa na maisha bora.
Si kila atajaye jina langu ...., ishi Kwa imani na matendo yako, hakuna anaebeba dhamana ya dhambi zako
 
Haya mafundisho yako ni mapya na kiufupi humjui Mungu au mungu unayemjua sio huyu tunayemjua sisi! Hivi ni nani mtakatifu duniani hapa ASIYE NA DHAMBI? Kama Mungu angekuwa anawasikiliza wasio na dhambi tu unadhani wewe pia ungefanikiwa kwa lolote? Biblia takatifu inasema kwa jinsi Mungu alivyo mwema habagui katika kutoa fadhili zake maana "huwanyeshea mvua yake waovu na wema".
We unasema nini bwana. Acha kupotosha!
Ndio maana kuna hukumu.
 
Back
Top Bottom