DUBAI mbona pa kawaida mno? Shobo ya nini?

DUBAI mbona pa kawaida mno? Shobo ya nini?

Mleta mada hebu tupe historia yako na ugonjwa wa malaria? au je kwenu mna asili ya kuugua uendawazimu?
 
Ye kno the drill.

Wenzetu wako soo organised...yan unangoja basi kituo una check ratiba ya bus online na tickects unaweza book & pay online, yako always on time. Bus likichelewa sana ni dakika 5. Train ni almost accurate.

Issue hapa nikujifunza kwa wenzetu nchi kama UK hawana anything big to make that country that much wealthy but ni discipline na visions tu. Hata hapa bongo inawezekana tukiamua.

Kwanza kabisa tuanze na good financial infrustructure.....ifike a point hata kununua juice kwa mangi tununue na card ya bank au mobile money bila makato yoyote ya kipuuzi. Bank charges kwa wenzetu ni almost zero....ni charges ndogo ndogo sanaa.
Imebidi nicheke. Mara yangu ya kwanza kutia guu jijini Los Angeles basi likaja mwanaume nikawa nimejiandaa ready kugombania seat. Ajabu naona watu wako calm wanaingia kwa ustaarabu sana. Hata wanaokosa seat wanashika bomba bila wasiwasi na lilipojaa dereva akasema lingine linakuja within 5 minutes. Wengine waliohisi kubanana wakashuka kistaarabu tu kusubiri hilo jingine linalokuja. Ndo nikajua kuwa nilikuwa nimeingia dunia nyingine aisee...

Sisi hata kama hamko wengi kituoni DCM ikija ni lazima kugombania. Sijui ni hulka ama nini sijui!
 
Hili linathibitisha uelewa wana JF hawana exposure ya kutosha kipi cha ajabu mm kutafuta changu dubai nikalinganisha na ubora wa south Africa?
 
Imebidi nicheke. Mara yangu ya kwanza kutia guu jijini Los Angeles basi likaja mwanaume nikawa nimejiandaa ready kugombania seat. Ajabu naona watu wako calm wanaingia kwa ustaarabu sana. Hata wanaokosa seat wanashika bomba bila wasiwasi na lilipojaa dereva akasema lingine linakuja within 5 minutes. Wengine waliohisi kubanana wakashuka kistaarabu tu kusubiri hilo jingine linalokuja. Ndo nikajua kuwa nilikuwa nimeingia dunia nyingine aisee...

Sisi hata kama hamko wengi kituoni DCM ikija ni lazima kugombania. Sijui ni hulka ama nini sijui!

True dat.
Kule ukishika bomba kwenye bus au train umependa wala hakuna harufu mbaya kuumiza pua hahaha....london siku ya kwanza nilipata shida kupenya kwenye zile barriers cz ni lazima uingize ur tickect upite then itoke on the other side....ndio beib flan wa ki sierra leone akaniambia ninunue oyster card ni kama extreme ya usafiri kama tigo hahaha unatumia usafiri regulary kwa budget na muda flan maalum.

Kurudi bongo ile mi DCM ya Mwenge - G/Mboto na hilo jua sasa...daah hahaha man kama kuna uwezekano utatamani ugeuze pale pale airport urudi mbelez. Hahaha
Ila ndio kwetu bana tufanyaje sasa...Lol
 
Asante mkuu kwa taarifa nimeshabadilisha ratiba nilitaka kwenda Dubei hii summer. Nimeghair nitaenda sauz kwenye mizigo iliyosheghen mav
 
Inaonekana kama ulienda Dubai kutafuta malaya
 
kweli dunia inaelekea ukingoni yani mtu na akili zake anawekeza pesa ili aende dubai kutafuta malaya badala ya kwenda kupata exposure na opportunity mbalimbali zinazopatikana kule kwel ujinga ni mzigo aise
 
Kila mtu na swaga Zake. Kama ww unaenda dubai semina kwa nn wengine wasiende kula raha za MFEREJI MARINGOI ?
 
Hata kama hakuzurura sana anataka kusema JNIA ni sawa na ule wa Dubai!!
 
Wadau! kiukweli nilikuwa nasikia sifa za Dubai nikawa natamani kwenda kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijpanga /kuweka pesa ya nauli mwezi Februari nikaona ofa ya FLYDUBAI 50% OFF nikakata tiketi ya kwenda huko kutalii daah nilipofika kiukweli tofauti na sifa zooote nilizokuwa nahadithiwa!

Nimekuta pa kawaida mno na vitu vingi mule ni (Artificial) tu. Hata "dada zetu" wabovu sana (sura & shepu ni msiba, wengi ni toka Nigeria & Kenya na bei ghali mno, 100 USD/one hour.

Kwa mtazamo wangu bora kwenda kutalii South Africa ambako mizigo ya maana, hasa wapenda MATINGINYA kuliko niliyoyaona Dubai. Kimsingi najutia pesa (Nauli = japo ilikuwa OFA 50% na malazi niliyolipia).
Dah...kumbe kutalii ndiyo maana yake kutafuta madem Ungemtafuta mwenyeji akuonyeshe wapi kuku wa kiasia, au wa kisomali au kizungu wanapatikana. Naamini ungefurahia "utalii" wako[emoji12]
 
ukute wewe ulienda DEIRA nako unasema umeenda DUBAI acha ubahili wewe
 
Back
Top Bottom