Milanzi2018
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 388
- 382
UAE hakuna Uhalifu Rate ya Uhalifu ni ndogo sanaMi sijaona ufahari wowote.
Mpaka nione nchi haina wahalifu ntawaelewa.
Kwasasa Tanzania ya Magufuli inampango wa kuongeza ndege.
Wao wabaki na tugari twao Sisi tunapita hewani.daadeki.
Tunasonga, pasua anga,...