Huyu jamaa nimemsikia akisema hawezi kucheza timu yenye viongozi mashabiki wa yanga na Simba.
Hata hivyo ninamuona ni mchezaji mpumbavu sana kwani huenda aliishi kwa kula pesa ya yanga ili acheze chini ya kiwango.
Kila akicheza nao alicheza kivivu na hakuwa na shauku ya ushindi hata kidogo.
Mchezaji wa namna hii hana maana yoyote na sababu anazozitoa sasa ni uhuni tu.
Maana ni punde tu alisaini mkataba na Azam. Je hayo ameyajua leo?
Hata hivyo ninamuona ni mchezaji mpumbavu sana kwani huenda aliishi kwa kula pesa ya yanga ili acheze chini ya kiwango.
Kila akicheza nao alicheza kivivu na hakuwa na shauku ya ushindi hata kidogo.
Mchezaji wa namna hii hana maana yoyote na sababu anazozitoa sasa ni uhuni tu.
Maana ni punde tu alisaini mkataba na Azam. Je hayo ameyajua leo?