Dude limegoma kulala!

Dude limegoma kulala!

Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
2025 halitambakiza Mtu. Watanzania wameamka hawadanganyiki tena.
 
Kumeshakucha ni mapema kabisa kazi ndogo imebakia kuudondosha mbuyu uliooza tena, german, UK na US wanalicheki wanalitamani na watatia nguvu mwanzo mwisho
USA huyu huyu ama mwingine? Hao German wenyewe tokea atoke Angella hawana time na cdm sijui kama CDU wanaushawishi ule, si unajua Putin kawavurugia vibaya sana wanawaza kumnasua Ukraine huko, wewe pambana na cdm yako ila hamta toboa hilo hata wewe unalijua.

#RIP ASHA BAKARI, BUNGE LA KATIBA ALIWAPA UJUMBE MURUA.
 
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
Hili dude ni kama Israili malaika mtoa roho, lazima liondoke na roho ya mtu.
 
Usichoamini hizi porojo zipo humu mitandaoni tuu, huko field watu na CCM yao hauwaambii kitu.

Kosa la kiufundi lilifanyika 2015 pale wananchi walikuwa tayari ila Babu Balozi na Le professeri wakaunawa mpira kwenye penalty box kwa makusudi tokea hapo wananchi nikiwemo mimi hatuwaelewi wapinzani.
Hata kipindi kile cha Jiwe fununu zilianza hivi hivi ...mkapuuza na wengine wakasema....yuko salama amesema endeleeni na kazi...

Siku mbili baadaye...[emoji24][emoji24]

Lisemwalo lipo...
 
Hivi unajiuliza inakuwaje mtu anasaini mkataba wenye vipengele kama hivi?
Ni kukosa uzalendo?...makusudi?...upeo mdogo?..kitu ambacho si kweli....RUSHWA?...maana mtu umeshakula hela ya mtu sasa huna pa kutokea...
Sitaki kuamini kwamba hao unaosema suala hili lipo kwao hawakuhusishwa toka mwanzo...
How?...
Hili suala ni very sensitive...watu wamuogope Mungu huu ni unyama kwa future generation.
Ila Africa kuna shida..hebu angalia hapo kwa jirani Kenya suala la Fake pastor Mackenzie na Shakahola yake imewezekanaje watu zaidi ya 400 kufa na kuzikwa na nobody noticed?..security organs zipo..wananchi wapo wanaangalia tu...hata kupiga kelele tu hamna...Nahisi shida ni kubwa kuliko tunavyodhania
Anyway muda utasema.
 
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
Tumepewa siku tatu
 
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
Mama keisha ona kuwa hili dude haliwezi ameanza kuhamishia familia yake Uarabuni!!
 
Usichoamini hizi porojo zipo humu mitandaoni tuu, huko field watu na CCM yao hauwaambii kitu.

Kosa la kiufundi lilifanyika 2015 pale wananchi walikuwa tayari ila Babu Balozi na Le professeri wakaunawa mpira kwenye penalty box kwa makusudi tokea hapo wananchi nikiwemo mimi hatuwaelewi wapinzani.
Acha kuhamisha magoli. Dude limechafua hali ya hewa. Ukiwa na akili timamu ni lazima Dude likutishe.

Bado siku 2
 
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
Kweli dude balaa maana limesababisha ziara za wana dude nchi nzima.
Mara Singida mara Tabora, Mwanza n.k

Ngoja tusubiri mwisho wake
 
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!

Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.

Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!

Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"

Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.

Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.

Mipango bila pesa ni kelele!
Hili limeshapita na kama kuna makosa watrekebisha mbele.Kwa serikali na Chama chake kukubali kubadilisha jambo lolote katika huu mktaba hawawezi kwani wanaona kama watawapa credit wapinzani.Heri tupigwe faini ya matrilioni lakini si kuwapa sifa hawa wapinzani.
 
Back
Top Bottom