Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hata Mimi nilijua alkasusi imemchachiaMkuu, ebu mue mnaandika headings ambazo hazina ukakasi....😎
Maana nimefungua chap ili nije nikupe ushauri....😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi nilijua alkasusi imemchachiaMkuu, ebu mue mnaandika headings ambazo hazina ukakasi....😎
Maana nimefungua chap ili nije nikupe ushauri....😂
Hapo DP hawajaanza operations,sijui wakianza itakuwaje!?Saa 100 kwisha habari zake.
Akubali kuchutuma.
Wamakonde tunasema
"Ukikimbia nchale, ukichimama nchale"
Hili dude ni zimwi, limeibua mizimu yote ya mababu. Wajomba wamekuja juu, mahari kala naniHili dude bwana... Hili dude bwana.. Hili dude bwanaweee... Linapagawishaaa!!![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hili dude limetumwa toka mbali limwangushe saa 100Hapo DP hawajaanza operations,sijui wakianza itakuwaje!?
Aliokula mahari lazma ateme bungoHili dude ni zimwi, limeibua mizimu yote ya mababu. Wajomba wamekuja juu, mahari kala nani
Kazi ipo ngoja tuone itavyokuaLilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!
Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.
Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!
Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"
Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.
Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.
Mipango bila pesa ni kelele!
Na wapinzani wake wa ndani na nje ya Chama washapata pa kumpigiaHili dude limetumwa toka mbali limwangushe saa 100
Dude hili la kimataifaLilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!
Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.
Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!
Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"
Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.
Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.
Mipango bila pesa ni kelele!
Sawa tumkabidhi nani kwenye ukoo wenu?Ila sisi watanzania sijui nani katuloga, yani una mkabidhi mtu bandari yako?
Vipi kwa sasa mikataba yao wamesha saini baada ya makubaliano yao kuungwa na Bunge?Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini!
Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga basi hii imechacha! Inamuumbua mpishi na inamsumbua mlaji ambae kagoma na sio kugoma tu bali kashika na bango.
Dude hili limeibua mengi hata wale waliokuwa kimya wamenena, tena wanatapika nyongo haswa. Kuonyesha kuwa dude hili ni imara limeanza hadi kuzingua misimamo ya kiimani!
Majukwaani hawalali, dude hili limewapa baadhi yetu uwezo wa kupiga msamba kama sio sogodati. Mbaya mbovu, dude limegonga mlango mpaka kwa akina Tanzania intelligence security huduma, wakereketwa wanahoji "Mlikuwa wapi wakati dude linaingia?"
Hao jamaa nao huwa hawaju kitu, kawaida yao huwa ni kukaa kimya ila vitendo ndio vitajibu. Wao hawapendi vipaza sauti lakini dude ndio hilo limewatazama wao kwasasa.
Ilipofikia sio wakumtafuta mchawi ni nani, bali ni lazima apatikane komando kipensi wakulituliza hili dude. Waswahili walisema usipoziba ufa utajenga ukuta. Hili dude ni aidha litaenda na watu au mtu au jitu.
Mipango bila pesa ni kelele!
Vipi litaenda kwa kutumbuliwa ku dead kabisa kwa waziri, CEO wa Bandari au litaenda na yupi?Dude laweza kwenda na mtu 2025.
La kimataifaaaHili dude bwana... Hili dude bwana.. Hili dude bwanaweee... Linapagawishaaa!!!🤣 🤣 🤣
Huu siyo mkataba ni li dude [emoji1]Hili dude bwana... Hili dude bwana.. Hili dude bwanaweee... Linapagawishaaa!!![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ila sisi watanzania sijui nani katuloga, yani una mkabidhi mtu bandari yako?