mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
1. Mzee mteiCDM sio chama Cha ukoo au familia.
2. Bob makani shemeji ake mtei
3. Mbowe mkwe wa mtei
5. Dubley mbowe anafaaa sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Mzee mteiCDM sio chama Cha ukoo au familia.
Almanusura wamrithishe binamu (Lema),wakaogopa uasi toka kwa akina LissuApewe hiyo ni Mali ya babu yake mzaa mama yake.
Lema anafaa pia ni binamu yake mboweChama cha Urithi, alitoka baba mkwe akapewa mkwe sasa ni zamu ya mtoto !! JOHN HECHE, TUNDU LISSU, na Watembea kwa miguu sijui wanajisikiaje ??? HECHE MURA KWAHIYO NA WEWE HUFAI
Walijatahidi sana kuficha huu usiano wa damu kama si Tundu Lissu tusingeyajua hayaLema anafaa pia ni binamu yake mbowe
Haipendezi mtoto kumrithi baba....hata kama anatosha, ajifunze kutosheka!
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Tundu Lissu kawekeza nini kwenye hiki chama chetu?Tutakichagua Chuma kirithi nafasi ya Uenyekiti na si mwingine ni TUNDU ANTIPAS LISSU.
Umetumwa na Lumumba.Tundu Lissu kawekeza nini kwenye hiki chama chetu?
... ... heri mimi sijachangia!Huu ujinga haufai hata kuwa mjadala.
Mbona Mbowe alivyochukua toka kwa baba mkwe hamkuuliza?Kwanini achukue Mwanae?
Mi naona anatosha kukuoa ww
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Makamanda ndiyo Watembea kwa miguu ?Chama cha Urithi, alitoka baba mkwe akapewa mkwe sasa ni zamu ya mtoto !! JOHN HECHE, TUNDU LISSU, na Watembea kwa miguu sijui wanajisikiaje ??? HECHE MURA KWAHIYO NA WEWE HUFAI
CCM imetengeneza wehu wakutosha nchi hii
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Nilikuwa nashangaa hapa, mbona huyu mtu sijawahi hata kumsikia!Dudley wala hayuko active kwenye masuala ya politics, enyi wanasiasa, mnapofanya propaganda chagueni vema propaganda inayoweza kushtua upande mwingine.
Sisi tusiokua na vyama,tunawaona tu.