Dudley Mbowe anatosha kurithi Uenyekiti CHADEMA?

Dudley Mbowe anatosha kurithi Uenyekiti CHADEMA?

Mbowe wakati anaachiwa chama na baba mkwe wake nani alikuwa anamjua?
Mbowe alikuwa Mwenyekiti wa BAVICHA miaka ya 90 na aligombea ubunge Jimbo la Hai mwaka 1995 ila hakufanikiwa kushinda kwa Tiketi ya CHADEMA. Kipindi hicho CHADEMA hakuna anayeijua. Nashangaa Leo mnajifanya wajuaji.
 
Yaani dude ni kama Ile ya sasa ambapo wanafamilia wazanzabr wanaongoza bara na Visiwani
 

Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.

Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.

Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.

Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.

Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Halafu ana sura mbaya mno. Haitaleta taswira nzuri kwa chama. Mi nafikiri yule mtoto wa bimdogo Joyce Mukya anafaa sana kushika usukani wa Baba!
 
Back
Top Bottom