Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There you go, wewe mwenyewe una speculation tu, hunw taarifa za uhakika. Kajipange upyaMambo ya familia ya mbowe unataka yawe published? Haujitambui wewe
Nilikuwa namjua na tayari alikuwa anajihusisha na chamaMbowe wakati anaachiwa chama na baba mkwe wake nani alikuwa anamjua?
Mbona Mbowe karithi chama kwa baba mkwe?
Yangu lini Makani alikuwa Baba mkwe wa MboweMbona Mbowe alivyochukua toka kwa baba mkwe hamkuuliza?
Tangu lini Bob Makani akawa shemeji wa Mtei?. Punguza uongo. Kama hujui kitu Kaa kimya1. Mzee mtei
2. Bob makani shemeji ake mtei
3. Mbowe mkwe wa mtei
5. Dubley mbowe anafaaa sanaa
Mbowe alikuwa Mwenyekiti wa BAVICHA miaka ya 90 na aligombea ubunge Jimbo la Hai mwaka 1995 ila hakufanikiwa kushinda kwa Tiketi ya CHADEMA. Kipindi hicho CHADEMA hakuna anayeijua. Nashangaa Leo mnajifanya wajuaji.Mbowe wakati anaachiwa chama na baba mkwe wake nani alikuwa anamjua?
Alimuoa dadaake mtei unabisha?Tangu lini Bob Makani akawa shemeji wa Mtei?. Punguza uongo. Kama hujui kitu Kaa kimya
Wewe kweli muongo. Mke wa Bob Makani ni Victoria Ambwene. Sasa tangu lini Victoria Ambwene akawa dada wa Mtei. Punguza uongo saa zingine. Kama hujui kitu Kaa kimya.Alimuoa dadaake mtei unabisha?
Niletee mke wa Mtei. Mimi ninaye mjua ni Vickie Ambwene mnyakyusa. Ukishindwa Kaa pembeni.Alimuoa dadaake mtei unabisha?
Wewe ni ukoo wa kina mbowe
Hapana siyo wa ukoo wao, isipokuwa tu mimi ni mfuatiliaji wa mienenendo ya siasa ya TanzaniaWewe ni ukoo wa kina mbowe?
Bob Makani ni Baba Mkwe wa Mbowe?Mbona Mbowe karithi chama kwa baba mkwe?
Halafu ana sura mbaya mno. Haitaleta taswira nzuri kwa chama. Mi nafikiri yule mtoto wa bimdogo Joyce Mukya anafaa sana kushika usukani wa Baba!
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?