Dudley Mbowe anatosha kurithi Uenyekiti CHADEMA?

Alisema anautaka uebyekiti wa CHADEMA?
 
Ametajwa wapi kuwa ata ridhi hiyo nafasi? To me kama hana interest na siasa abaki huko huko
 
Hahaahahaaa kitu kama The Heroin II Case. Sikumbuki vizuri

.

Sijui ni kwanini MBOWE alimuita mwanaye jina baya kama la DUDLEY ambaye walimla nyama mtoto mdogo mpaka wakammaliza baada ya meli kuharibikia baharini na kuishiwa chakula. Wakaona chakufia nini wakajichinjia katoto na kukafanya mlo hadi walipookolewa
 
Hiyo nafasi inawafaa Peter Msigwa au John Heche. Ila chonde chonde msije kuwaua mapema kama alivyouliwa Chacha Wangwe
 
Hiyo nafasi inawafaa Peter Msigwa au John Heche. Ila chonde chonde msije kuwaua mapema kama alivyouliwa Chacha Wangwe
Wanasema mbowe haachii chama sababu hanunuliki wengine wana bei kasoro familia yake hivyo dudley anatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…