Ndugu yangu wee,kwani kuna kuna anayenyonywa basi? Ni vile tu wabongo wanapenda sana udaku na maneno ya uongo na kuzushia watu ubaya na kama ujuavyo mara nyingi ubaya huvuma kuliko wema,kwa mfano huyu mtoto Ruby,awali hakuna aliekuwa akimfahamu Ruby,lakini Clouds fm kupitia fiesta hiyo hiyo wakamtoa ,ametoka wabongo wanamfahamu na shoo anapata,lakini kuna watu wamemjaza ujinga mtoto kajiona ana thamani kuliko clouds na tamasha la fiesta lililomtambulisha,amekataa,eti hataki kunyonywa,sasa najiuilza hataki kunyonywa nini alichonacho Ruby na kujifananisha na nani hata afikie kutamka hayo?Hivi Ruby ana thamani ya kumzidi Vanessa Mdee? mbona vanessa anahangaika na fiesta? jibu ni kwamba Vanessa anajitambua na anatambua thamani ya fiesta anajua fiesta ina maana kubwa kwake ndo maana yupo na anapanda hizo coaster bila nyodo wala kwere,Kwa taarifa yako wasanii wanaotaka kupanda kwenye jukwaa la fiesta ni wengi kuliko wasiotaka, na wasiotaka kiukweli wanataka ila wanajikaza kisabuni wasionekane masnitch yaani wanajiua kwa tai zao shingoni maskini,nawaonea huruma kujiumiza roho buree kwa kuichukia clooouds fm mabingwa wa burudani bongo.