Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

New version of big DUDU BAYA
 
kumbe Dudubaya ana akili!!
 
Matz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
 
Wamenyimwa na nani? Mbona kwenye mfano wake kuna vipindi vya luninga vinavyohusu mambo ya katiba (utawala na maamuzi) na watanzania walio wengi ndio hawapendi.
 
Ameongea kweli tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…