Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huu ndiyo uchawi wa CCMMatz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndiyo uchawi wa CCMMatz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Mtu anamaliza F4 hajui katiba ni nini1 people here zingekuwa mada zetu za mapenzi zile hii thread ingepata reaction zaid ya mia mpaka sas! Hii nchi imerogwa aisee
Huyu nae dudu baya mpumbavu mbona enz za jiwe hakua akiyazungumza haya kaongea ukweli ika mtu mnafiki hua simkubali dudu ana jnafiki wa kinge*** sana enzi za jiwe sikuwah nsikia akitoa hizi kaukiAkizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.
Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.
Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Wanachukuliwa watu wa Lumumba hapo wakajadili maswala ya katiba nani awasikilize ? Wale huwa ni makada watupu wa ccm ambao wamevaa nguo za kiraiaWamenyimwa na nani? Mbona kwenye mfano wake kuna vipindi vya luninga vinavyohusu mambo ya katiba (utawala na maamuzi) na watanzania walio wengi ndio hawapendi.
Kwani ukimsikia kipindi hiki unaumia masikio?Pata ujumbe wake na uache kulalamika.Ungewasikia wangapi?Huyu nae dudu baya mpumbavu mbona enz za jiwe hakua akiyazungumza haya kaongea ukweli ika mtu mnafiki hua simkubali dudu ana jnafiki wa kinge*** sana enzi za jiwe sikuwah nsikia akitoa hizi kauki
Haiondoi ukweli tribalism ilishamiri sana enz za jiwe na hata huyu hakuwah kosoa zaid ya kuwananga upande ule ni wabayaKwani ukimsikia kipindi hiki unaumia masikio?Pata ujumbe wake na uache kulalamika.Ungewasikia wangapi?
Ndicho kinakufanya ushindwe kuelewa anachoongea leo?Halafu,enzi za huyo aliyetoroka kuishi,ni vyombo gani vya habari vilikua huru kurusha/kuandika taarifa za kumpa changamoto?Haiondoi ukweli tribalism ilishamiri sana enz za jiwe na hata huyu hakuwah kosoa zaid ya kuwananga upande ule ni wabaya
Wanawajua sana akina Etugrubey na akina Pasha wa Uturuki 😂😅👍Yaah ni kweli, na hii inaanzia ngazi ya familia.
Baba na mama kutwa kucha busy na simba na yanga. Kina baba wa siku hizi hawa hata hivyo vipindi hawaangaliagi ni mpira na tamthilia tu.
Aliyetoroka kuishi 😳 !!! ?? 🙄Ndicho kinakufanya ushindwe kuelewa anachoongea leo?Halafu,enzi za huyo aliyetoroka kuishi,ni vyombo gani vya habari vilikua huru kurusha/kuandika taarifa za kumpa changamoto?
Kwani ulionaje?Alitoroka maisha kwa uzembe wa kushindwa kuenenda yanavyotaka.Aliyetoroka kuishi 😳 !!! ?? 🙄
Ni aibu snHuo ndio ukweli, kama kenyata alisema watanzania ni maiti ambazo zinasubiri tu kuoza unategemea nini
Hawa ni wauza ungaKumbe Dudu baya kuna wakati akili zake zinakuwa timamu hivi!
Hongera sana kwa kuona hili, kumbe wewe una akili na ufahamu tofauti kabisa na akina baba level na mwijaku!