Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.

Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.

Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Yuko sahihi kwa asilimia 100.

Ndicho CCM wanajivunia kwa kuwanyima elimu watanzania walio wengi ili waendelee kutawala
 
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Kudai haki ni uhuni? Nafikiri unatakiwa kujitafakari zaidi kabla hujaongea neno lingine. Labda nikuelimishe kidogo.

Mtawala/Kiongozi anapovunja miiko ya kikatiba ni lazima awajibishwe na mfumo uliomuweka madarakani. Mfumo unaweza ukawa raia au mahakama kupitia katiba.

Kilichopo bongo ni kwamba watawala wamejifanya kuwa miungu kana kwamba wao hawakosei wala hawataki kukosolewa. Ila hali hio ni kinyume kwa raia ambao ni watawaliwa yani wao wakijitingisha tu kabla jua halijazama ni polisi na rumande chap wakisubiriwa mahakamani.
 
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
mifano ya dudu baya ndio hii
 
Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.

Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.

Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Hajapata connection ya chief Hangaya huyo. Mpeni muda
 
Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.

Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.

Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Mungu amlinde tusije sikia kaingiziwa dudu yuko hoi misitu ya katabi
 
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Sio kufanya fujo linapohusika suala la kudai haki nguvu yoyote inaruhusiwa kutumika maadamu itasaidia haki ya mtu/watu kupatikana.
Mwalim Nyerere alipata kusema ukikimbia na haki yaku ukajifungia kwenye chumba fulani tarajia mambo mawili aidha nivumilie nje au uvumilivu unishinde nivunje mlango niichukue kwa nguvu.
 
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.

Fujo maana yake ni nini?
Maandamano ya amani wewe kwa kiwango chako cha ufahamu unachukulia ni fujo ?
 
Yani bongo wako tayari kuandamana kisa yanga au Simba,ila sio kuandamana kudai haki yao.
Au wakisikia mondi konde kashuka port lazima wataenda kumpokea kwa maandamano 😄

Ova
 
Na sasa hivi mipira imekuwa kero zaidi wanawake na watoto wa shule unakuta mishipa imewasimama wanapishana SIMBA na YANGA
Iko haja ya kupata regime itakayobalansi vizuri haya mambo mijadala ya burudani Ina nguvu sana kuliko mijadala ya mustakabali wa taifa letu
 
Kudai haki ni uhuni? Nafikiri unatakiwa kujitafakari zaidi kabla hujaongea neno lingine. Labda nikuelimishe kidogo.

Mtawala/Kiongozi anapovunja miiko ya kikatiba ni lazima awajibishwe na mfumo uliomuweka madarakani. Mfumo unaweza ukawa raia au mahakama kupitia katiba.

Kilichopo bongo ni kwamba watawala wamejifanya kuwa miungu kana kwamba wao hawakosei wala hawataki kukosolewa. Ila hali hio ni kinyume kwa raia ambao ni watawaliwa yani wao wakijitingisha tu kabla jua halijazama ni polisi na rumande chap wakisubiriwa mahakamani.
Mahakama zipo pia kumbuka unaweza kuwa wewe hujawachagua ila kuna watu wamewachagua kwa hiyo wana mandate ya kuongoza. unashida mahakama zipo sio kuleta fujo barabarani kuna watu wako busy kutafuta pesa.
 
Back
Top Bottom