PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Nasikia mmesajiri mchezaji anaitwa Mukwara, nasikia jamaa ni noma sanaMatz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia mmesajiri mchezaji anaitwa Mukwara, nasikia jamaa ni noma sanaMatz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Yuko sahihi kwa asilimia 100.Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.
Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.
Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Hivi alishapona?KOnki, konki, konki master is back!!!
Alindwe kwa gharama yoyote.
Kudai haki ni uhuni? Nafikiri unatakiwa kujitafakari zaidi kabla hujaongea neno lingine. Labda nikuelimishe kidogo.Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
mifano ya dudu baya ndio hiiSasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Ndiyo kapata nafuu kwa kiasi kikubwa.Hivi alishapona?
Rekebisha hapo andika....saa....Kuna muda hata radio mbovu husema kweli
Hajapata connection ya chief Hangaya huyo. Mpeni mudaAkizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.
Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.
Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Mungu amlinde tusije sikia kaingiziwa dudu yuko hoi misitu ya katabiAkizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.
Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.
Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Angekuwa hana walau connection hiyo yale matibabu yake angeyapataje?Hajapata connection ya chief Hangaya huyo. Mpeni muda
Sio kufanya fujo linapohusika suala la kudai haki nguvu yoyote inaruhusiwa kutumika maadamu itasaidia haki ya mtu/watu kupatikana.Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Yani bongo wako tayari kuandamana kisa yanga au Simba,ila sio kuandamana kudai haki yao.Matz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Wakenya sahv wanasema watanzania ni uhodari wa kukataMiziki, michezo na maigizo
Au wakisikia mondi konde kashuka port lazima wataenda kumpokea kwa maandamano 😄Yani bongo wako tayari kuandamana kisa yanga au Simba,ila sio kuandamana kudai haki yao.
Na sasa hivi mipira imekuwa kero zaidi wanawake na watoto wa shule unakuta mishipa imewasimama wanapishana SIMBA na YANGAMatz mengi ni Mazezeta, Simba na yanga TU! Jinga kabisa!
Ni kweli lakini siku moja watamshika mkonoNahisi ccm wanajua kula na kipofu
Iko haja ya kupata regime itakayobalansi vizuri haya mambo mijadala ya burudani Ina nguvu sana kuliko mijadala ya mustakabali wa taifa letuNa sasa hivi mipira imekuwa kero zaidi wanawake na watoto wa shule unakuta mishipa imewasimama wanapishana SIMBA na YANGA
Mahakama zipo pia kumbuka unaweza kuwa wewe hujawachagua ila kuna watu wamewachagua kwa hiyo wana mandate ya kuongoza. unashida mahakama zipo sio kuleta fujo barabarani kuna watu wako busy kutafuta pesa.Kudai haki ni uhuni? Nafikiri unatakiwa kujitafakari zaidi kabla hujaongea neno lingine. Labda nikuelimishe kidogo.
Mtawala/Kiongozi anapovunja miiko ya kikatiba ni lazima awajibishwe na mfumo uliomuweka madarakani. Mfumo unaweza ukawa raia au mahakama kupitia katiba.
Kilichopo bongo ni kwamba watawala wamejifanya kuwa miungu kana kwamba wao hawakosei wala hawataki kukosolewa. Ila hali hio ni kinyume kwa raia ambao ni watawaliwa yani wao wakijitingisha tu kabla jua halijazama ni polisi na rumande chap wakisubiriwa mahakamani.