Dudu Baya: Maisha ya umaarufu magumu sana, nashindwa kununua mihogo na vitumbua

Nilifikiri ukishakuwa maarufu na vitumbua ndo unapunguziwa bei?
teh teh teh upunguziwe bei??

Sana sana ukitoa noti kubwa utaambulia kuambiwa sina chenchi rudi baadaye, wakilenga useme " no problem keep change"...
 
Kwani bado ni star huyu jamaa
 
teh teh teh upunguziwe bei??

Sana sana ukitoa noti kubwa utaambulia kuambiwa sina chenchi rudi baadaye, wakilenga useme " no problem keep change"...

Basi shida kweli wanapata
 
Ocd alikula kichapo kisa nini? Kutokumjua MTU maarufu Dudu baya
 
Ikiwa Dudubaya bado ni star basi Chibu Dangote atakuwa sun!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…