Dudu Baya: Maisha ya umaarufu magumu sana, nashindwa kununua mihogo na vitumbua

Dudu Baya: Maisha ya umaarufu magumu sana, nashindwa kununua mihogo na vitumbua

Sidhani kama unaweza kuutunza umaarufu kama hauna pesa kwetu tuita njuluku, au ndululu. Bila hiyo kitu huwezi tunza, anacheza ukata nini. Kama pesa unayo unakosaje kula kitu napenda, natuma familia iwe mke, mtoto au Dada wa kazi wananunua muhogo, na kutayarishia nyumbani kwangu na hata kwa vitumbua pia. Ukiona mtu analilia vitumbua vya kwa mama Dick hali si mzuri kiuchumi, mimi sio maarufu ila inatokea sana kula vitumbua vya kwa mama Dick, muhogo ndo kabisaa! Maana mama Dick yeye anachoma tu na mafuta basi, hajui muhogo ukimuweka ng,onda, papa, nguru, kibua freshi sio hawa wanaoletwa kwenye maboksi. Au waweza muweka samaki yeyote asiye miba nyingi mbichi au mkavu, kwa sisi watu wa pwani hupenda kuweka samaki maji ya chuumvi.alafu aungwe nazi na hiriki isisahaulike, eti watu wanadhani muhogo ni chakula hadhi ya chini, kumbe watu wangi hawaundai vizuri. Muhogo hata ule mwingi hausumbui tumbo, hakuna gesi wa kiungulia, kuleni muhogo msidhani kula muhogo au kitumbua ni kuishiwa.
 
Umaarufu wako uko wapi bana? Kusigasana cha Arusha nao ni umaarufu? Too late man
 
Nakumbuka kuna siku alikuwa bar na washikaji zake wanakunywa akapita OCD katika wale washikaji zake mmoja alikuwa anajuana na huyo ocd akamtambulisha nipo na msani wetu dudu baya OCD alijibu ndiyo nani huyo dudu baya alimpa kichapo yule OCD sijui kesi yake iliishia wapi

Hahahaaa...umaarufu haulazimishwi,huja automatic2!!
 
We mpunga mdebwedo umeshashindiliwa mashine 54 saivi vitu vinatoka free pwaa.. tuu maaninazzz
Swali lilikuwa dogo tu la kujibu ndio au hapana. Nakuuliza tena ushaacha ushoga?
 
Swali lilikuwa dogo tu la kujibu ndio au hapana. Nakuuliza tena ushaacha ushoga?
bwahahaha.. nadhani weekend ulikamuliwa vilivyo mpaka sasa network hazisomi.. mpaka saivi kuna majimaji ya wanaume kwenye makalio...njoo kwangu kama hujatosheka nizamishe mkono huko kwenye kitega uchumi chako... ma ninazzz
 
bwahahaha.. nadhani weekend ulikamuliwa vilivyo mpaka sasa network hazisomi.. mpaka saivi kuna majimaji ya wanaume kwenye makalio...njoo kwangu kama hujatosheka nizamishe mkono huko kwenye kitega uchumi chako... ma ninazzz
Kwahiyo umeshindwa kabisa kujibu kama umeshaacha ushoga??
 
Tatizo umaarufu wake haujulikani kwa wengi, wanaujua walokuwa wanaipenda miziki yake enzi hizo
 
Kwahiyo umeshindwa kabisa kujibu kama umeshaacha ushoga??
bwahaha nijibu wewe mpunga kama hujatosheka na ukuta ulioshikishwa weekend nije kukutia mkono kwenye kitega uchumi chako kikuu.. haha kubwa baada ya kupanuliwa hua unatumia ASPRIN kupooza maumivu.. ninazz
 
Yeye na huyo fid Q hawajaelewa nini maana ya kuwa super star lakini kibaya zaidi ni kwamba u super star wao umekuzwa kwa kiasi kikubwa na skendo magazeti ya udaku na mitandao ya kijuha
 
Inaelekea hili limjamaa ni hatareeee
"Dudubaya nina 'nizamu' kwa Baba na Mama... Mwanangu huna 'nizamu', 'nizamu', 'nizamu' hata kidooogooo"

By the way, hadi sasa bado ni maarufu? nakumbuka alikuwa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000!
 
"Dudubaya nina 'nizamu' kwa Baba na Mama... Mwanangu huna 'nizamu', 'nizamu', 'nizamu' hata kidooogooo"

By the way, hadi sasa bado ni maarufu? nakumbuka alikuwa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000!
Yeah alikuwa maarufu enzi hizo. Hivi sasa anabuya mikonyagi tu. Nashangaa bado anajiona maarufu
 
bwahaha nijibu wewe mpunga kama hujatosheka na ukuta ulioshikishwa weekend nije kukutia mkono kwenye kitega uchumi chako kikuu.. haha kubwa baada ya kupanuliwa hua unatumia ASPRIN kupooza maumivu.. ninazz
Una maneno mengi na vicheko vya kipashkuna lakini unasahau kujibu swali dogo tu..... umeshaacha ushoga?

Jibu swali acha kujichekeshachekesha kama waimba taarab.
 
Una maneno mengi na vicheko vya kipashkuna lakini unasahau kujibu swali dogo tu..... umeshaacha ushoga?

Jibu swali acha kujichekeshachekesha kama waimba taarab.
Bwah ha kumbe unatumia Asprin na umejipa jina ASPRIN coz hua unazitumia baada ya kutiwa machine ili kupoza maumivu..kweli wewe ni shoga uliyekubuhu ASPRIN=SHOGA..
 
Una maneno mengi na vicheko vya kipashkuna lakini unasahau kujibu swali dogo tu..... umeshaacha ushoga?

Jibu swali acha kujichekeshachekesha kama waimba taarab.
Nimekujibu ASPRIN = SHOGA.. nina maneno mengi ili kukupooza coz mapunga mnapenda kubembelezwa na kubemendwa.. JF soko gumu ASPRIN=SHOGA
 
Back
Top Bottom