Dudubaya ameokoka rasmi

Kongole. Hapa ni mwizi wa mchana amekutana na mwizi wa usiku.
 
Aaaaaiiiiieeeemmm koonki koonki koonki master yu panchi mi wansi ai panchi yu tripo
 
 
 
Shida ,ziki, umaskini ujinga na maradhi ni mtaji wa makanisa yetu, Kuna watu wanafikiri makanisa yanaweza kuondoa umaskini wao, maradhi yao, kuwasaidia kuolewa, kpata KAZI, kupanda cheo, kununua Kiwaninja, kujenga..................... Mweeeeee kulagha nenga.imeandikwa WATU WANGU WANAPOTEA KWA KUKOSA MAARIFA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…