Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Anaumwa nn jmnNo sio kweli, Dudubaya kaokoka kwa sababu anaumwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaumwa nn jmnNo sio kweli, Dudubaya kaokoka kwa sababu anaumwa sana
Kongole. Hapa ni mwizi wa mchana amekutana na mwizi wa usiku.Kiki tu
Mwamposa ni lini anatubisha watu zaidi ya kuwaibia pesa zao kwa kutumia wese, mchanga na keki?
Kwakuwa Dudubaya ni maarufu kajifanya kumtubisha.
Naamini hapa haikuwa toba ni mchezo tu. Dudubaya ana mawenge njaa zimemkaba anatafuta kujinasua while Mwamposa anatafuta wajinga awanyoe
TBLTDL imepoteza mteja mwandamizi.
Aishikilie neema hiyo hadi mwisho. Isiwe Kiki tu.
Kumbe Dudu Baya mdau wa kumix, tunamix Guiness na GrantsNilikutana nae marumba bar kakola anamix konyagi na safari lager 😃😃
unadhani kuacha pombe ni rahisi kama kumuacha mwanamkeKongole kwake.
AACHE POMBE SASA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kukesha kitambaa cheupe ataacha kweli?Leo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala ni kubakikisha haiingiliani na kazi ila kuacha sio jambo lainiunadhani kuacha pombe ni rahisi kama kumuacha mwanamke
Leo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
..Wakiristo jamani JITOKEZENI kuchangia Mwl. Francis Ndacha kumuwezeshe ahudhurie Mdahalo na Waislam hapa Dar tarehe 16 na 17 December 2023 katika ukumbi wa PTA SABA SABA. Mchango wako wa fedha upeleke kwa Bw Jaffari Massawe muwakilishi wake hapa Tanzania kwa namba +255757722557
View: https://www.youtube.com/live/xg7IQgi2W-E?si=cdPQNJ8TrA3xearH
Watu wamtafute Mungu sikuzote sio kusubiri mpk Maisha yawachapeLeo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Wakiristo jamani JITOKEZENI kuchangia Mwl. Francis Ndacha kumuwezeshe ahudhurie Mdahalo na Waislam hapa Dar tarehe 16 na 17 December 2023 katika ukumbi wa PTA SABA SABA. Mchango wako wa fedha upeleke kwa Bw Jaffari Massawe muwakilishi wake hapa Tanzania kwa namba +255757722557
View: https://www.youtube.com/live/xg7IQgi2W-E?si=10VVwO7_KI5FhuYp
Tanzania Distilleries Limited aka KonyagiTDL imepoteza mteja mwandamizi.
Aishikilie neema hiyo hadi mwisho. Isiwe Kiki tu.