Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Eti jamani, Konki ndiyo nini?Dudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua
Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records kuanguka kutokana na kutaka fedha kutoka kwa producer huyo na wasanii aliokuwa akiwarekodia
Amesema yupo tayari kwenda polisi ambako ameitwa kwenda kesho
hoja yako hii ni dhaifu! ndiyo maana kuna makundi yanaitwa vulnerable groups, those who can not defend their fate!kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.
Saida Karoli muulize Felician Mutta, Ruge anahusika vipi na Saida Karoli.mweeeeh nkimkumbuka saida carol mweeeh jamaaan
Dead men tale no talesDudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua
Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records kuanguka kutokana na kutaka fedha kutoka kwa producer huyo na wasanii aliokuwa akiwarekodia
Amesema yupo tayari kwenda polisi ambako ameitwa kwenda kesho
Saida Karoli muulize Felician Mutta, Ruge anahusika vipi na Saida Karoli.
It's a straight thing, FM alikuwa anamnyonya Saida Karoli na hakuna cha zaidi ya hapo.ooh ni hatari zile figisu zilianzia mbali sana
Kwanza Ruge ndo kamrudisha tena Saida KaroliSaida Karoli muulize Felician Mutta, Ruge anahusika vipi na Saida Karoli.
Dead men tell no tales
Dudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua
Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records kuanguka kutokana na kutaka fedha kutoka kwa producer huyo na wasanii aliokuwa akiwarekodia
Amesema yupo tayari kwenda polisi ambako ameitwa kwenda kesho
sugu ni kupokonywa dili la mareliaStudio iliyotolewa kwa wasanii badala ya kukabidhiwa basata ilichukuliwa na clouds ambao waliitumia kwa manufaa binafsi ndio kiss cha ugomvi wake na sugu hapo hakuna siri
we humjui dudubaya vzr, hakuna wimbo uliobamba sana 2005 kama mpenzidudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.
ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.
kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.
aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.