Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Kwakuwa marehemu hawezi tena kumnyonya MTU aliyehai, Huwa MTU akifariki tunaachana na maovu yake tunamsindikiza kwa mema. Hata kama marehemu alikuwa mwizi, kiafrika huwa tunamuazima sifa nzuri na kumsindikiza. Dudu jina lako lisikuathiri sana, samehe, songa mbele pambana
Ni ujinga na upuuzi kumuongelea ruge ambaye ni marehemu, either kwa ubaya au kwa uzuri maana hasikii tena ya duniani.
 
Ni ujinga na upuuzi kumuongelea ruge ambaye ni marehemu, either kwa ubaya au kwa uzuri maana hasikii tena ya duniani.
Kwa kuwa sheria zinamtambua MAREHEMU kuwa anaweza pia kudhalilishwa, basi kumbe hata kumwongelea kwa kumsifu ama kumkashifu ni halali kisheria. (Rejea kifungu cha 35 cha sheria Na. 2/2016.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti jamani, Konki ndiyo nini?
All in all looks ana hoja ingawa ni ya upande mmoja!
Muziki unabadilika na pia msanii anapaswa abadilike. Dudubaya ni mwanamuziki mzuri sana ila ameshindwa kubadilika ndiyo maana amepwaya kwenye game. Wakongwe waliobadilika ni Dully Sykes, Prof. Jay, J dee na Jmoo hawa wamebadilika ndiyo maana wanaendelea kuhit mpaka leo.
Walioshindwa kubadilika ni
Afande Sele, Mr Nice, Dudu baya na Juma Nature (hawa ni wachache). Mwanamuziki mpaka kujulikana na nyimbo zake tayari huyo ni mwanamuziki. Nenda studio ukarekodi km utahit hata kusikika? Hiyo konki unayoidharau ndiyo imemtambulisha kwenye game ya muziki tena. Sijamtetea kwa kauli zake ile ni mtetea km mwanamuziki.
Rudi na usikilize nyimbo za dudubaya za zamani ndiyo utajua huyu jamaa yupo vyema ila kashindwa kubadilika kulingana na soko la muziki
 
Mi nadahani inabidi tuwape pole wote Dudu baya na Ruge. Pia Konk kulalamika ni haki yake kwani hawa wasanii wamepitia mengi mpaka wakawa juu sasa inawezekana kuna mengine hayawezi kusemwa hadharani, kwa hiyo ukiona Konki analalamika sana ujue kuna ya dhahiri kwetu na mengine siyo dhahiri kwetu. Matajili wana sura mbili kuna visible na invisible na hakuna tajiri ambaye si mnyonyaji
 
ahsante mzee wa ova
sema mzee wale dada zako ni kwere pale kondoa wananisumbuaga sana nkitoka arusha kwenda dodoma kituo lazima nifike pale nile vindege na mtoto mmoja mzuriiiiii ndo niende zangu dom we ni shemeji yangu by default

Saida alipigwa na mzee muta
Ruge hata hausiki na Saida kumbka alikuja mjini mshamba .......
Siku zote mjinga ni wakati wa kwenda wakati wa kurudi Ushakuwa mjanja

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.

ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.

kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.

aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.
Nadhani huyu jamaa ni Msukuma, empty headed
 
Dudubaya utakaa central hadi Ruge azikwe, una mdomo mchafu.
Ukienda kesho saa tatu unawekwa ndani hadi j3 unapelekwa mahakamani, unanyimwa dhamana kwa usalama wako hadi Ruge azikwe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom