nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
kwanza,kabla ya kurekodi kile kipindi cha yule mama kichaa kwamba kazaa na gwajima mlionekana na DAB kwenye parking ya clouds mkichukua kibahasha inasemekana ni 200,000, mkala hela ya watu na kipindi hakikuruka ilihali hadi raia namba moja wa nchi the very same week alitangaza kwamba shilawadu ndicho kipindi anachokipenda akiwa ikulu
The same week zikaachiwa cctv footages zikionyesha uvamizi na nyinyi mtaani mlikiri kwa washkjai wenu kwamba mlikula mitama heavy
*muelewe kwamba downfall ya DAB kutoka kupendwa hadi kuchukiwa ilianzia pale na sijui kama truly kasemehe moyoni mwake maana hadi magazeti ya nje ya nchi hadi leo yana refer lile tukio in a negative way
*Baadaye zikavuja habari kwamba bwana DAB alishawahi kukataa rushwa kutoka kwa marehemu ili kum favour rafiki yake aendelee kupewa contracts za kujenga mabarabara mabovu ya dsm kama ile ya akachube,kwa hiyo inaonekana jamaa kwenye ile issue ya cctv sio kwamba alisimamia maadili bali ilikuwa ni kisasi chake lakini naye mwishoni alipigwa na bumbuwazi kama sisi wote baada ya kugundua kwamba jamaa hata afanye makosa ya aina gani hatoki kwenye kile cheo
*ndugu zangu naona bado mnachukua vinahasha na kugeuza kipindi kiwe personal vendetta ,shauri zenu bana...maana consipracy theories kuhusu SUMU wenyewe mnaziona,mjue tu balaaa lilianzia ile issue ya kumuhiji mama kichaa kwamba kazaa na gwajima
*Ikaja issue ya mwandada yule kumkimbia marehemu na kwenda kuolewa jamaa akiwa iringa kikazi,inasemkana GAVANA alitoa mamiliioni kufanikisha harusi ili kumkomoa jamaa,masikini ya Mungu siku ya mwisho kampigia mwandada kaishiwa kurekodiwa akilia na kusambazwa mitandaoni
*mnakumbuka issue ya sudi,maua sama,ben na shafiih walivyolala polisi jamaa akapost kuna mtu katekeleza magari manne mabovu ,yaani jamaa alikuwa hoi kitandani bado anadhihakiwa
*mnaona jinsi wasafi media ilivyochanua baada ya ile scandal yenu?
****KUWENI MAKINI MADOGO MAANA NA NYIE UJINGA WENU UNAJULIKANA KUTOKA ISSUE ZA LGBT HADI KU SNIFF PELE..kuweni makini mno sasa hivi hamna mtetezi,mtapotezwa ,anzeni tu kumsifia jamaa maana hata baada ya ile scandal mlimrushia vijembe ananuka miguu na mdomo
The same week zikaachiwa cctv footages zikionyesha uvamizi na nyinyi mtaani mlikiri kwa washkjai wenu kwamba mlikula mitama heavy
*muelewe kwamba downfall ya DAB kutoka kupendwa hadi kuchukiwa ilianzia pale na sijui kama truly kasemehe moyoni mwake maana hadi magazeti ya nje ya nchi hadi leo yana refer lile tukio in a negative way
*Baadaye zikavuja habari kwamba bwana DAB alishawahi kukataa rushwa kutoka kwa marehemu ili kum favour rafiki yake aendelee kupewa contracts za kujenga mabarabara mabovu ya dsm kama ile ya akachube,kwa hiyo inaonekana jamaa kwenye ile issue ya cctv sio kwamba alisimamia maadili bali ilikuwa ni kisasi chake lakini naye mwishoni alipigwa na bumbuwazi kama sisi wote baada ya kugundua kwamba jamaa hata afanye makosa ya aina gani hatoki kwenye kile cheo
*ndugu zangu naona bado mnachukua vinahasha na kugeuza kipindi kiwe personal vendetta ,shauri zenu bana...maana consipracy theories kuhusu SUMU wenyewe mnaziona,mjue tu balaaa lilianzia ile issue ya kumuhiji mama kichaa kwamba kazaa na gwajima
*Ikaja issue ya mwandada yule kumkimbia marehemu na kwenda kuolewa jamaa akiwa iringa kikazi,inasemkana GAVANA alitoa mamiliioni kufanikisha harusi ili kumkomoa jamaa,masikini ya Mungu siku ya mwisho kampigia mwandada kaishiwa kurekodiwa akilia na kusambazwa mitandaoni
*mnakumbuka issue ya sudi,maua sama,ben na shafiih walivyolala polisi jamaa akapost kuna mtu katekeleza magari manne mabovu ,yaani jamaa alikuwa hoi kitandani bado anadhihakiwa
*mnaona jinsi wasafi media ilivyochanua baada ya ile scandal yenu?
****KUWENI MAKINI MADOGO MAANA NA NYIE UJINGA WENU UNAJULIKANA KUTOKA ISSUE ZA LGBT HADI KU SNIFF PELE..kuweni makini mno sasa hivi hamna mtetezi,mtapotezwa ,anzeni tu kumsifia jamaa maana hata baada ya ile scandal mlimrushia vijembe ananuka miguu na mdomo