Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Muziki unabadilika na pia msanii anapaswa abadilike. Dudubaya ni mwanamuziki mzuri sana ila ameshindwa kubadilika ndiyo maana amepwaya kwenye game. Wakongwe waliobadilika ni Dully Sykes, Prof. Jay, J dee na Jmoo hawa wamebadilika ndiyo maana wanaendelea kuhit mpaka leo.
Walioshindwa kubadilika ni
Afande Sele, Mr Nice, Dudu baya na Juma Nature (hawa ni wachache). Mwanamuziki mpaka kujulikana na nyimbo zake tayari huyo ni mwanamuziki. Nenda studio ukarekodi km utahit hata kusikika? Hiyo konki unayoidharau ndiyo imemtambulisha kwenye game ya muziki tena. Sijamtetea kwa kauli zake ile ni mtetea km mwanamuziki.
Rudi na usikilize nyimbo za dudubaya za zamani ndiyo utajua huyu jamaa yupo vyema ila kashindwa kubadilika kulingana na soko la muziki
Mziki wa tanzania ni bubble gum music
Wasanii Wana heat kwa kipindi kifupi
Pesa wanapata wakiishiwa wa naanza lawamaa
Kwanza dudu Baya hajawaikuwa msaniii bora alipotoka mwanza hata kiswahili chake chnyw kilikuwa shida

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.

ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.

kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.

aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.
Hapa mlalamikaji ni Mwakyembe kwa niaba ya Ruge au ni Ruge (marehemu)?
Kesi hizi zisizo na maana zinatugharimu watanzania.
 
Mtu anapoondoka huwa tunamtakia kheri ktk safari yake ya mwisho haijarishi duniani aliishi vipi eidha kwa kheri au kwa ubaya kwani ni mmoja peekee anayetoa hukumu ya haki, vilevile sisi sote ni wadhambi hakuna aliyekamilika bali ni Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema mwenye
Kurehema, let him Rest In Peace

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea Point sana......
 
Kwakuwa marehemu hawezi tena kumnyonya MTU aliyehai, Huwa MTU akifariki tunaachana na maovu yake tunamsindikiza kwa mema. Hata kama marehemu alikuwa mwizi, kiafrika huwa tunamuazima sifa nzuri na kumsindikiza. Dudu jina lako lisikuathiri sana, samehe, songa mbele pambana
Mkuu umesahau kauli za ''Jiwe'' alisema viongozi wa zamani walifanya makosa sio lazima kuwashitaki ila lazima watu wajue ukweli walivyowafanyia Makosa... na la Raisi pia unalipinga?
 
Mtu anapoondoka huwa tunamtakia kheri ktk safari yake ya mwisho haijarishi duniani aliishi vipi eidha kwa kheri au kwa ubaya kwani ni mmoja peekee anayetoa hukumu ya haki, vilevile sisi sote ni wadhambi hakuna aliyekamilika bali ni Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema mwenye
Kurehema, let him Rest In Peace

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine huu utaratibu umejaa unafiki. Unakuta mtu anamtakia safari njema mara akigeuka anasema maneno ya kashfa kuliko kashfa yenyewe. Huyo marehemu mimi nilikuwa simjui hivyo nisieleweke kuwa naunga mkono watu wanaomlamu. Ila tu nadhani hata huyu waziri Mwakyembe ni kama amekosa kazi ya kufanya kuingia mambo yasiyomhusu! Kwa nini analazimisha anapofariki mtu fulani basi kila mtu asikitike na hata kama anahisi marehemu hakuwa mtu mzuri awe mnafiki asiseme ukweli wake? Mambo ya kijinga namna hii unakuta yanafanywa na hawa viongozi wa nchi yetu waliofilisikika kichwani na wamebakia kudandia ujinga unaotokea mitaani.
 
Duh kama jamaa ndio alikua anafanya hayo alikua anayumba sana.
Malalamiko ya huyo konki yasipuuzwe.
 
Nyuma ya huyu mwehu kuna kundi la watu wazito wanaochochea huu moto, hii confidence sio ya kawaida aisee nadhani tunafahamu baada ya kuwachafua baadhi ya watangazaji wa clouds fm kwa kashfa ya ushoga hakukemewa bali ajachukuliwa na wasafi na wajamfanyia nyimbo na hapo ndipo jeuri ya huyu kichwa tikitiki maji ilianza akawa akimvaa kila mtu kwa dharau...hapa wasafi na mkuu wa mkoa wana mchango mkubwa sana kwa anayoyafanya huyu mwehu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyuma ya huyu mwehu kuna kundi la watu wazito wanaochochea huu moto, hii confidence sio ya kawaida aisee nadhani tunafahamu baada ya kuwachafua baadhi ya watangazaji wa clouds fm kwa kashfa ya ushoga hakukemewa bali ajachukuliwa na wasafi na wajamfanyia nyimbo na hapo ndipo jeuri ya huyu kichwa tikitiki maji ilianza akawa akimvaa kila mtu kwa dharau...hapa wasafi na mkuu wa mkoa wana mchango mkubwa sana kwa anayoyafanya huyu mwehu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Untold story.
 
Konki konki konki konki master , dudu ukikaa naye na kupiga naye Stori mi mtu mmoja mzuri , huwezi ukadhania ndio huyu
 
Mziki wa tanzania ni bubble gum music
Wasanii Wana heat kwa kipindi kifupi
Pesa wanapata wakiishiwa wa naanza lawamaa
Kwanza dudu Baya hajawaikuwa msaniii bora alipotoka mwanza hata kiswahili chake chnyw kilikuwa shida

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ww upo vizuri kwenye lugha. Neno mziki lina maana gani? Tunaeleweshana kuhusu muziki lakini ww unazungumzia mziki kwahiyo tumetofautina.
Kazi ya Muziki ndiyo imempa umaarufu Dudu baya na kujulikana mpaka sasa. Sasa utasemaje siyo mwanamuziki? Muziki wa kiafrika karibia wote ni bubble gum ila siyo kigezo cha kuudharau wakati ww hauna mchango wwte kwenye muziki. Jaribu kuingia studio lbd utabadilisha fleva ya bubble gum na kuwa keki

Mziki-Muziki
Heat-hit
Utasemaje mwenzio anashida ktk kuzungumza wakati ww mwenyew umechemka kuandika neno Muziki? Kwenye lugha ya malikia nayo umechemka hit.
 
Hiyo yakuwanyonya inaharufu ya ukweli nakila aliepingana nao wimbo wake haukupigwa nadhani JD ana habari zao
dudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.

ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.

kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.

aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ww upo vizuri kwenye lugha. Neno mziki lina maana gani? Tunaeleweshana kuhusu muziki lakini ww unazungumzia mziki kwahiyo tumetofautina.
Kazi ya Muziki ndiyo imempa umaarufu Dudu baya na kujulikana mpaka sasa. Sasa utasemaje siyo mwanamuziki? Muziki wa kiafrika karibia wote ni bubble gum ila siyo kigezo cha kuudharau wakati ww hauna mchango wwte kwenye muziki. Jaribu kuingia studio lbd utabadilisha fleva ya bubble gum na kuwa keki

Mziki-Muziki
Heat-hit
Utasemaje mwenzio anashida ktk kuzungumza wakati ww mwenyew umechemka kuandika neno Muziki? Kwenye lugha ya malikia nayo umechemka hit.
Ok Sawa ngoja nirekebishe (muziki)
Point ni kwamba huwezi kuwa mfalme milele,siku zote kitunze unachokipata
Hawa wasanii wengine walipata ila wakiyumba kimaisha wanakuja kulalamika
Lazima wasanii wajifunze kujiongeza
Ona wakina sugu etc

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anapoondoka huwa tunamtakia kheri ktk safari yake ya mwisho haijarishi duniani aliishi vipi eidha kwa kheri au kwa ubaya kwani ni mmoja peekee anayetoa hukumu ya haki, vilevile sisi sote ni wadhambi hakuna aliyekamilika bali ni Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema mwenye
Kurehema, let him Rest In Peace

Sent using Jamii Forums mobile app


Rest in peace kivipi.....mangapi kayafanya huyu mhaya yasiyo na chembe ata ya Huruma....alimtapeli mpaka Dada yetu Said a karoli...mm kiukweli naungana na Dudu Baya na na hii kwangu haijaanza leo....huyu MTU unadhani ni wangapi aliwaharibia maisha yako kupitia mziki....Ngwea,Hide,Sugu n.k
 
we humjui dudubaya vzr, hakuna wimbo uliobamba sana 2005 kama mpenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya hiyo ngoma miaka ya tisini mwishoni alitoa dude na album ya DEGE LA JESHI .... Hatari sana .... Inawezekana tunaongea na vijana waliozaliwa 2000s kama yuleeee aliyemmis Alicios eti alikuwa anamsikkia mama take akiimba
 
Back
Top Bottom