Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

Nianze tu kwa kusema R.I.P. Jasiri Ruge.Dudu Baya anachunguzwa kwa kosa la kutumia mtandao vibaya kwa kutoa lugha ya kumkejeli marehemu.Kwanza niseme sijaona sehemu amemtaja jina lake,pili msukuma na muhaya ni watani wa jadi ,hata muheshimiwa raisi aliwahi kuwakejeli kule Kagera baada ya lile tetemeko la ardhi lililotokea kwa kuwaambia kuwa wakati wa kampeni yake hakuahidi kuleta tetemeko la ardhi.Na kisha aliweza kwenda kumsaidia muathirika mmoja alieanza kukarabati kuliko kusubiri msaada wake.Dudu baya hastahili kuhukumiwa kwa alicho kifanya,kwani utani hauna mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze tu kwa kusema R.I.P. Jasiri Ruge.Dudu Baya anachunguzwa kwa kosa la kutumia mtandao vibaya kwa kutoa lugha ya kumkejeli marehemu.Kwanza niseme sijaona sehemu amemtaja jina lake,pili msukuma na muhaya ni watani wa jadi ,hata muheshimiwa raisi aliwahi kuwakejeli kule Kagera baada ya lile tetemeko la ardhi lililotokea kwa kuwaambia kuwa wakati wa kampeni yake hakuahidi kuleta tetemeko la ardhi.Na kisha aliweza kwenda kumsaidia muathirika mmoja alieanza kukarabati kuliko kusubiri msaada wake.Dudu baya hastahili kuhukumiwa kwa alicho kifanya,kwani utani hauna mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Subiri yakukute kwa nduguyo wa damu.. halafu uje kuandika tena humu.

Kwa sasa fukia nyuso yako
 
Nianze tu kwa kusema R.I.P. Jasiri Ruge.Dudu Baya anachunguzwa kwa kosa la kutumia mtandao vibaya kwa kutoa lugha ya kumkejeli marehemu.Kwanza niseme sijaona sehemu amemtaja jina lake,pili msukuma na muhaya ni watani wa jadi ,hata muheshimiwa raisi aliwahi kuwakejeli kule Kagera baada ya lile tetemeko la ardhi lililotokea kwa kuwaambia kuwa wakati wa kampeni yake hakuahidi kuleta tetemeko la ardhi.Na kisha aliweza kwenda kumsaidia muathirika mmoja alieanza kukarabati kuliko kusubiri msaada wake.Dudu baya hastahili kuhukumiwa kwa alicho kifanya,kwani utani hauna mipaka

WSent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajua mtani wa mhaya au unaongea tu? Msukuma mtani wake ni Mzaramo na watu wa pwani siyo mhaya. Mhaya mtani wake ni akina Genta na makabila yote ya Mara pia Waha.
 
Wewe unajua mtani wa mhaya au unaongea tu? Msukuma mtani wake ni Mzaramo na watu wa pwani siyo mhaya. Mhaya mtani wake ni akina Genta na makabila yote ya Mara pia Waha.
Na mwambie, hawa Wasukuma sisi ndio watani zetu kwa sababu tulikuwa tunawapaga maji ya kupoza koo wakati wametandikwa minyororo wakielekea ama Unguja au Bagamoyo! Yaani Waskuma na Wanyamwezi uboya hawakuanza leo (au na wewe umo?)! Mibaba kweli kweli lakini ilikuwa inakubali kuburuzwa kutoka Usukumani hadi Pwani na minyororo shingoni bila kufanya attempt ya resistance!
 
Marehemu huko roho yake inatanga tanga na kushangaa serikali inavyohangaika na upumbavu,umseme vizuri au vibaya marehemu harudi tena ndio ameenda hapo tusubiri decaying process tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mwambie, hawa Wasukuma sisi ndio watani zetu kwa sababu tulikuwa tunawapaga maji ya kupoza koo wakati wametandikwa minyororo wakielekea ama Unguja au Bagamoyo! Yaani Waskuma na Wanyamwezi uboya hawakuanza leo (au na wewe umo?)! Mibaba kweli kweli lakini ilikuwa inakubali kuburuzwa kutoka Usukumani hadi Pwani na minyororo shingoni bila kufanya attempt ya resistance!
Ningekuwa msukuma nisingekuja fasta kubisha. Imagine Kinjeketile alimudu resistance ya wajerumani lakini hawa walikuwa wakisombwa na kuuzwa na wazazi na watemi wao. Ila tuseme ukweli hata nyinyi pwani mlionja joto. Nyinyi mlikuwa mnapelekwa Uarabuni na kuh...w. ili msizae na wake za waarabu.
 
Ningekuwa msukuma nisingekuja fasta kubisha. Imagine Kinjeketile alimudu resistance ya wajerumani lakini hawa walikuwa wakisombwa na kuuzwa na wazazi na watemi wao. Ila tuseme ukweli hata nyinyi pwani mlionja joto. Nyinyi mlikuwa mnapelekwa Uarabuni na kuh...w. ili msizae na wake za waarabu.
Halafu unajua nilitaka kutoa mfano huo huo wa Kinjeketile! Wajerumani na mibunduki na jeshi lao lakini watu wakasema "no way"!!

Halafu unasema wa Pwani kufanyaje?! Unajua Mwarabu alikuwa mjanja sana?! Mwarabu hakuwabughudhi wenyeji na ndio maana huwezi kusikia vita dhidi ya Mwarabu! Na ndio maana kule Unguja watu wakafikia kujiita eti Washirazi wakati ni weusi tiii; ili mradi tu kujitofautisha na weusi kutoka bara ambao ndio walilionja joto la Mwaarabu! Kwa kiasi kikubwa, wenyeji hawakuhusishwa kwenye kuuzwa utumwani! Chukulai historia ya Waajemi pale Kilwa; walikaa karne kadhaa hadi walipokuja kushanmbuliwa na Wareno lakini sio na wenyeji wa Kilwa ambao walikaa nao kwa amani!

Yaani ali-apply kanuni ya "unapokula na kipofu!"
 
Nasikia Karume RIP ndo aliwaweza mashombe wa kiarabu. Akawa anawalazimisha kuwaoa. Kweli? Wengine tunayapata vijiweni. Ila mimi Zenj naiogopa. Watu wa Bara tunabaguliwa sana. Nina mifano ila naibinya.
 
alichokifanya the dudu ni kusema yaliyo moyoni mwake pasipo kumsema mtu japo wengi huwa hatupendi kusikia mtu akisema ukweli , yani mtu kafa kwa ukimwi tunasema kafa kwa kifua kikuuu, kafa akiwa mwizi tunasema alikuwa mtu mwema.ila mwisho wa siku dudu si kichaa hadi kusema yote lazima yatakuwa yamemfika ka dada komando yalivyowahi mfika miaka ile ya nyuma na yeye akaandika yale ya miaka ile tena kwakuwataja kwa majina na kusema usia waki pindi mwili ukitengana na roho
 
Msukuma hajawahi kuwa mtani wa mhaya
Watani wa msukuma ni hawa
Mzaramo mkwere
Makonde
Mhehe
Mnyakyusa
Mfipa
Mgogo
Mngoni
Mrugulu
 
Ningekuwa msukuma nisingekuja fasta kubisha. Imagine Kinjeketile alimudu resistance ya wajerumani lakini hawa walikuwa wakisombwa na kuuzwa na wazazi na watemi wao. Ila tuseme ukweli hata nyinyi pwani mlionja joto. Nyinyi mlikuwa mnapelekwa Uarabuni na kuh...w. ili msizae na wake za waarabu.
Mbona huko kanda ya usukumani hakukuwa na soko la watumwa badala yake walikuwa wanasombwa kutoka kigoma tabora kilwa huko
 
Hata kumshikilia ni kuendeleza utani tu, wala usiwe na hofu.
 
Back
Top Bottom