Dudubaya kachoka ile mbaya wasanii wetu inasikitisha

Dudubaya kachoka ile mbaya wasanii wetu inasikitisha

Huyu si alikula life ban la kutoshiriki activities zozote za sanaa, hilo tangazo tu kwanza nimecheka sana halafu hapo ukute Dudubaya kanunuliwa chupa mbili tu za Faru John ndio malipo ya kutumbuiza
 
Jana nimejionea laivu alikuwa chimbo fulani alikuwa ameandaliwa kushusha mbonge la shoo katika bar fulani mkoani geita
View attachment 1531947
Mimi ni moja ya watu waliokuemo kwenye bar hiyo tukipata 1.2

Dudubaya pamoja na kuandaliwa lakini mapema tu alikua kalewa chakali yaani mpaka huruma hadi kufikia kushindwa kutumbuiza

Kingine niliona dudubaya amesha jikatia tamaa lakini bado mapema anakubalika
Ameshajikatia tamaa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

One love
 
Afu jamaa tuseme tu yuko out of ulingo ata wampige jek namna gani hanyenyukiiii kwanza naona akili imempungukia kabisa afu ivi yeye ndo alifutiwa usanii?
Ulevi kupita kiasi ni mbaya mno saa 24 amelewa
 
Huyu jamaa namuonea huruma sana kwa sababu WCB walishamrudisha kwenye gemu kiaina badala awe "smart" atumie hiyo "opportunity" a.k.a mbeleko ya chuma aendelee kupata mkate wake wa kila siku japo kidogo yeye akajiona kafika akaanza kutukana kila mtu kwenye mitandao hata wale waliokuwa wanamkosoa kwa nia nzuri ya kumjenga. Ndio basi tena huyo kwani bahati haiji mara mbili labda uwe kijukuu cha mtume kama Laizer.
Yaani tatizo kubwa la yeye nililoliona ni ulevi tu

Unajua kuna tofauti kati ya unywaji naulevi
 
Nilidhani yule aliyekuwa anamwita mnyonyaji alipokufa maisha yake yatakuwa na afadhali ataanza kuwika upya na kupiga mishow mikali mikali.
Ilisikika sauti ya jamaa flani aliyekuwa akisoma tangazo la show ya dudu bay konk
 
Back
Top Bottom