Watu wanabadilikaBado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
Godfrey Tumaini amelelewa na Kanisa Tegeta alitolewa Kijijini akichunga Ng'ombe aliheshimu kanisa ndio lililomlea.Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
Huyo Ricardo ni nani hadi aweze kusamehe dhambi?Arudi kwa Ricardo akatubu,aache kutangatanga.
Kwa hiyo dudubaya kawa kondoo?mungu ni mwem... kamguxa kondoo wake... tumtakie kila la kher ktk xafr yake mpy
Huyo Ricardo ni nani hadi aweze kusamehe dhambi?
Huyo padre amepewa na nani mamlaka ya kumsamehe MTU dhambi? Mbona huyo padre anaingilia kazi ya Yesu?Ni padre ambaye alimlea enzi hizo dudu a anasomea ubroda kule morogoro
huu ujinga ifike pahala ufemungu ni mwem... kamguxa kondoo wake... tumtakie kila la kher ktk xafr yake mpy
huu ujinga ifike pahala ufe